Mkapa: Kumbe alisema kweli


mkuu ni kwel watz tumekosa lishe bora utotonu hivyo hatufikirii vizur na hii ni sabb serikal ya ccm inatumia rasilmal zetu kwa maslah yao

hatuna iman tena na ccm,bora jiwe kulko hawa watu......

unatakiwa kujua hapa tatzo sio lowasa wala magufuli,,,chuki zetu ni dhidi ya shetan ccm na vibaraka wao..

hata lowasa angekua ccm tungemkana ivo ivo
 

Atatokomeza Rushwa kwa siku 100,Foleni ataimaliza kwa siku mia, halafu tapeli mwenzie wa kipemba anasema ataibadilisha znz kuwa kama Singapore ndan ya siku mia, sasa siku ya mia na moja sijui ndo watastaafu Urais kwa kuwa kazi itakuwa imeisha?
 
Kingunge amejiondoa rasmi leo kwenye chama chake CCM na anaunga mkono mabadiliko
 
ila wewe unasumbuliwa na zaidi ya UPUMBAVU NA ULOFA! napata wakati mgumu kuelewa kama ulikuwa unawaelewa waalimu wako darasani! YOU ARE COMPLETELY DULY!!!
 
Ndio Yaleyale Majitu Yalio Aminishwa Hii Ni Nchi Masikini Na Kuamini.Pumbavuuuuu!!
 

we have to think critically, jamani ccm wanaposema watagawa 50million kwa kila kijiji, je? tuna vijiji vingapi nchi nzima? je jumla itakuwa shs. ngapi? je ni mikakati gani yapo ambayo yatafanya izo pesa zisiwe kama mamilioni ya jk? ambayo takwimu ilibaini kuwa wanufaika wengi hawakuwa walengwa.je UKAWA wakitumia hizo fedha kuwekeza kwenye elimu ambayo itakuwa ni kwa wote wapenda elimu haitowezekana. kama swali ni wapi watapata pesa hizo?, je CCM watazipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…