Mkapa akataa Nishani ya Ikulu!

Mkapa akataa Nishani ya Ikulu!

Labda bado roho inamsuta jinsi alivyouza mashirika ya umma,turning point ya Tanzania ilianzia kwake.wenzie wanaofuata wanashindwa hata pa kuanzia matokeo yake wanaanza kutamani kula hata vichache vilivyopo.
 
MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUPOKEA NISHANI HIZO HASA KTK KIPINDI HIKI/cha wizi huu mkubwa kwa raha gani?

Unamaanisha nin mkuu BEN amewaonea huruma watanzania ?
Kwa mtu mwenye akili timamu anafaham fika kuwa MFALME wa offisadi TANZania Ni BEN akiwa Ikulu ndo MADUDU haya yote Ya meanzia huko sema ukweli NA uwazi hukujulikana mfano , MIKATABA Ya madeni , NDEGE yake mwenyewe, MERemeta ,epa , RADA ,Jumba la kifahari S.a kama shukuran kwa kwa kugawa madin bure kwa makaburu ,kugawa Mali Za uma kwa ndugu ze mama Anna mkapa (lemada) hotel kuuza nyumba za umma kwa bei Ya kutupwa
Hayo ni machache kati ya mengi yaliyofanywa na huyu dikteta
Sipati picha kama kipindi cha utawala wa BEN kingeangikia kwenye kizazi cha sasa . Yaan nchi Ingekuwa kama somalia
 
Nishani aache kupewa kafulila anapewa sita!
 
Hizo nishani zingekuwa zinatolewa kwa kuzingatia vigezo halisi na mchango uliotolewa na walengwa kwa taifa hili ni wazi kuwa Wajane wa Waasisi wa Taifa letu yaani Mama Maria Nyerere na Mama Karume wangepewa nafasi ya kwanza katika kupewa nishani hizo.
 
Msekwa ndo kapendeza kuliko wotee hapo
 
Kwa Tanzania Nishani haina maana yoyote hasa ikitolewa na mfumo wa kifisadi au mtu dhaifu, ni kwa kuwa tu wengi hawajui vigezo vya utoaji wa nishani, anayestahili na sifa za anayestahili kuzitoa hizo nishani.
 
Leo Mkapa umeongea sana. Sasa kachukue Nishani yako ya umbea.
 
Back
Top Bottom