Picha ya pili, huyo mwenye suti ya mtumba nani!
aibu sana kwa watanzania, Yaani wote hapo juu hakuna anayejua kuvaa suti.pamoja na kukaa madarakani muda mrefu wote hovyooooo.Angalia misuti yao utadhani zimetundikwa kwenye get ila nyumba duuuuuuu
Labda hakutaarifiwa mapema na au tuzo yenyewe haina pesa.
Lakini pia ya nini wakati pesa za epa hazijarudi?.
Anaitwa Kassim, muuza chipsi wa buguruni alimpiga jambazi mwenye bastola na chepe. Kapewa nishani ya ushupavu
pinda hajafunga vifungo vya koti lake kama wafanyavyo maafisa usalama wanaokuwa kazini especially kulinda viongozi
Tena Pinda anaelekea ni mgomvi sana,mbona picha ya kwanza kakunja ngumi mikono yote miwili kama anataka kupigana..mtoto wa mkulima hajui kuvaa ,mimi bwana JK na Karume wale jamaa ni noma nguo utafikiri zimeshonewa mwilini wakitundika sutisuti kweli cheki huyo jamaa kulia mtumbbo hata suti haikai ,
Mkuu OLESAIDIMU ngoja tumezee tu haya mambo haya. Hadi nimemkumbuka comredi Ogah kuna siku tulichafua JF Photos ikabidi ipigwe chini. Wayback when JF was JF kweli, siku hizi tumekua wapita njia.
Ila nimemkubali hajasahau mafunzo. Wanasema "maji hayaachi ubaridi wake, hata yachemke vipi"
Karibu wote wako poorly dressed
Wengine suit oversized
wengine wamevaa kisela kama Pinda
Pozi za picha hovyoo...
Hovyo hovyoo tu
mtoto wa mkulima hajui kuvaa ,mimi bwana JK na Karume wale jamaa ni noma nguo utafikiri zimeshonewa mwilini wakitundika sutisuti kweli cheki huyo jamaa kulia mtumbbo hata suti haikai ,