Mpendwa hujaambiwa uende kwenye my profile. Kwa nini unajipa instructions ambazo hujapewa? Fuata maelekezo. Wangesema kabisa kuwa ukisha login, nenda kwenye my profile, then if......................HAWAJASEMA hivyo.
kumbuka wao wamesema kuwa second round ikiwa active inamaana unatakuwa ujaze upya. Kama kwenye iko active sehemu moja na sehemu nyingine iko faint nifuate ipi maana kote kuna taarifa
kumbuka wao wamesema kuwa second round ikiwa active inamaana unatakuwa ujaze upya. Kama kwenye iko active sehemu moja na sehemu nyingine iko faint nifuate ipi maana kote kuna taarifa