Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Wana forum hamjambo?
Nilipote kidogo nilikuwa naandika ripoti kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Kuendeleza Maeneo yaliyoko Pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam. Kama mtakavyokumbuka maeneo ya Kibamba, Kigambani, Bunju, Kongowe, Pugu Kajiungeni n.k Wizara ya Ardhi inadai inatekeleza Mkakati wa kuyaendeleza. Lakini katika utafiti tumebaini kuwa Mkakati huo ni wa kuwafanya wananchi wenye ardhi katika maeneo hayo kuwa maskini zaidi badala ya kuendelea kama ilivyokusudiwa.
Mathalani wakati Wizara ya Ardhi iliipa fida kwa kila mita moj amraba kwa Shilingi 2,000/= yenyewe iliuza eneo hili hilo kwa Shilingi 30,000/= hivyo kutengeneza faida ya 1500% wakati wananchi waliohamishwa wakienda kuisha bila umeme, maji safi n.k
Someni mpate uhondo
Nilipote kidogo nilikuwa naandika ripoti kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Kuendeleza Maeneo yaliyoko Pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam. Kama mtakavyokumbuka maeneo ya Kibamba, Kigambani, Bunju, Kongowe, Pugu Kajiungeni n.k Wizara ya Ardhi inadai inatekeleza Mkakati wa kuyaendeleza. Lakini katika utafiti tumebaini kuwa Mkakati huo ni wa kuwafanya wananchi wenye ardhi katika maeneo hayo kuwa maskini zaidi badala ya kuendelea kama ilivyokusudiwa.
Mathalani wakati Wizara ya Ardhi iliipa fida kwa kila mita moj amraba kwa Shilingi 2,000/= yenyewe iliuza eneo hili hilo kwa Shilingi 30,000/= hivyo kutengeneza faida ya 1500% wakati wananchi waliohamishwa wakienda kuisha bila umeme, maji safi n.k
Someni mpate uhondo