Mmiskiry
Member
- Mar 1, 2018
- 55
- 21
#NIMEITOA_KWENYE_GROUP_MOJA_HUKO.
MKAKATI WA KUIN'GOA CWT KISHERIA NA KUWARUDISHIA WALIMU PESA ZAO WALIZOIBIWA NA CWT PAMOJA NA FIDIA
Nimepitia mijadala mingi na malalamiko mengi ya WALIMU dhidi ya CWT, Hotuba ya Rais Magufuli na Mkuu wa Wilaya wa Hai dhidi ya madudu ya CWT.
Nashauri,CWT nigenge la ajabu na Haliwezi kukoma kuwepo bila ya KUTUMIA njia ya Mahakama.
Ni Mahakama pekee ndio inaweza kumkomboa Mwalimu hivyo nashauri tufungue kesi ya kudai yafuatayo (briefly)
1. Viongozi wa CWT watupatie majina ya WALIMU waanzilishi wa CWT pamoja na nakala ya CERTIFICATE OF REGISTRATION-sababu ni haki ya WALIMU kupatiwa
2. CWT watupatie nakala ya "Authorized Budjet"ya miaka mitano-kama sheria inavyoelekeza kuwa Mwalimu anatakiwa apate nakala hizo for five years consecutively if needed. Authorised Budget ndio document inayotakiwa kuonyesha mapato na matumizi,kiasi cha pesa kilichopo,assets, liabilities,idadi ya wanachama, wafanyakazi, budget ya mishahara, idadi ya walimu wanaokatwa agency fees, kodi zinazolipwa, n.k
3.C WT watupatie "company profile" ya Tanzania Teachers Development Co.Ltd (TDCL) Kampuni hii ndio inayomiliki shares katika BENKI YA WALIMU, na pia inamiliki vitega uchumi. Ukienda kwenye soko la hisa Dar es Salaam utaijua zaidi.
4. CWT watupatie taarifa ya kesi aliyofungua mama Hellen Mbezi na wakili Tarimo dhidi yao pale MCA mwaka 2013. Kesi hii ni muhimu sana kwa mstakabali wa maisha ya MWALIMU Tanzania, but it was cooked behind teachers ignorance.
5. Ufafanuzi wa kisheria juu ya application of the law of agency fees in Tanzania, sababu walimu wamekua wakiibiwa kwa kutumia misapplications.
6. CWT watupatie Anual Financial Reports za Mwalimu Bank maana ni haki ya wanahisa.
7.CWT watupe maelezo ya kisheria yanayoonyesha Walimu ndio wamiliki wa MWALIMU BANK,na nafasi ya walimu katika maamuzi ya Benki hiyo
8. CWT watueleze iwapo wao ni trade union au professional body ya walimu, ili kuondoa utata uliopo kwenye documents zao, wanazijua hizi.
9. CWT wamekuwa wakipokea zaidi ya DOLA ELFU 90 KILA MWAKA kutoka Denmark kwaajili ya kusaidia WALIMU "professional awareness", watuonyeshe mchanganuo wa pesa hizi--wao wanazijua walianza kuzivuna ruzuku hizi mwaka 1998.
10. CWT watupe majibu ya AUDITING ILIYOFANYWA NA PROFESA ASSAD MWAKA 2017
11. TUMTAKE MSAJILI wa vyama Tanzania Mama Uisso atueleze kwanini hajakifuta chama cha CWT mpaka sasa wakati HAWAJAWAHI kutoa "Authorised Budget" kama inavyoelekeza na sheria, na yeye kapewa kazi yakuvifuta vyama visivyofata sheria.
HAYO NI MACHACHE TU..MWALIMU HAWEZI KUJIBIWA HAYA BILA KUTUMIA MAHAKAMA ILIYO HURU NA HAKI,it is very wrong and falacy to take these things easy !!
NASHAURI KUUNDA TIMU YA WANASHERIA ILI KUDAI HAYA. NA GHARAMA YAKE TUNAWEZA KUTUMIA MILIONI 50, yaani kila Mwalimu achangie Shilingi 500/=, walimu laki moja wanatosha.
TOA MAONI YAKO!
Imeandikwa na Farai Alfred
Sent using Jamii Forums mobile app
MKAKATI WA KUIN'GOA CWT KISHERIA NA KUWARUDISHIA WALIMU PESA ZAO WALIZOIBIWA NA CWT PAMOJA NA FIDIA
Nimepitia mijadala mingi na malalamiko mengi ya WALIMU dhidi ya CWT, Hotuba ya Rais Magufuli na Mkuu wa Wilaya wa Hai dhidi ya madudu ya CWT.
Nashauri,CWT nigenge la ajabu na Haliwezi kukoma kuwepo bila ya KUTUMIA njia ya Mahakama.
Ni Mahakama pekee ndio inaweza kumkomboa Mwalimu hivyo nashauri tufungue kesi ya kudai yafuatayo (briefly)
1. Viongozi wa CWT watupatie majina ya WALIMU waanzilishi wa CWT pamoja na nakala ya CERTIFICATE OF REGISTRATION-sababu ni haki ya WALIMU kupatiwa
2. CWT watupatie nakala ya "Authorized Budjet"ya miaka mitano-kama sheria inavyoelekeza kuwa Mwalimu anatakiwa apate nakala hizo for five years consecutively if needed. Authorised Budget ndio document inayotakiwa kuonyesha mapato na matumizi,kiasi cha pesa kilichopo,assets, liabilities,idadi ya wanachama, wafanyakazi, budget ya mishahara, idadi ya walimu wanaokatwa agency fees, kodi zinazolipwa, n.k
3.C WT watupatie "company profile" ya Tanzania Teachers Development Co.Ltd (TDCL) Kampuni hii ndio inayomiliki shares katika BENKI YA WALIMU, na pia inamiliki vitega uchumi. Ukienda kwenye soko la hisa Dar es Salaam utaijua zaidi.
4. CWT watupatie taarifa ya kesi aliyofungua mama Hellen Mbezi na wakili Tarimo dhidi yao pale MCA mwaka 2013. Kesi hii ni muhimu sana kwa mstakabali wa maisha ya MWALIMU Tanzania, but it was cooked behind teachers ignorance.
5. Ufafanuzi wa kisheria juu ya application of the law of agency fees in Tanzania, sababu walimu wamekua wakiibiwa kwa kutumia misapplications.
6. CWT watupatie Anual Financial Reports za Mwalimu Bank maana ni haki ya wanahisa.
7.CWT watupe maelezo ya kisheria yanayoonyesha Walimu ndio wamiliki wa MWALIMU BANK,na nafasi ya walimu katika maamuzi ya Benki hiyo
8. CWT watueleze iwapo wao ni trade union au professional body ya walimu, ili kuondoa utata uliopo kwenye documents zao, wanazijua hizi.
9. CWT wamekuwa wakipokea zaidi ya DOLA ELFU 90 KILA MWAKA kutoka Denmark kwaajili ya kusaidia WALIMU "professional awareness", watuonyeshe mchanganuo wa pesa hizi--wao wanazijua walianza kuzivuna ruzuku hizi mwaka 1998.
10. CWT watupe majibu ya AUDITING ILIYOFANYWA NA PROFESA ASSAD MWAKA 2017
11. TUMTAKE MSAJILI wa vyama Tanzania Mama Uisso atueleze kwanini hajakifuta chama cha CWT mpaka sasa wakati HAWAJAWAHI kutoa "Authorised Budget" kama inavyoelekeza na sheria, na yeye kapewa kazi yakuvifuta vyama visivyofata sheria.
HAYO NI MACHACHE TU..MWALIMU HAWEZI KUJIBIWA HAYA BILA KUTUMIA MAHAKAMA ILIYO HURU NA HAKI,it is very wrong and falacy to take these things easy !!
NASHAURI KUUNDA TIMU YA WANASHERIA ILI KUDAI HAYA. NA GHARAMA YAKE TUNAWEZA KUTUMIA MILIONI 50, yaani kila Mwalimu achangie Shilingi 500/=, walimu laki moja wanatosha.
TOA MAONI YAKO!
Imeandikwa na Farai Alfred
Sent using Jamii Forums mobile app
