Mkakati wa kuimaliza CHADEMA Moshi wabainika

Mkakati wa kuimaliza CHADEMA Moshi wabainika

Baba C

Senior Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
125
Reaction score
55
Ndugu wanajamvi!Mbunge viti maalum (CCM)amebainika akitumia mbinu chafu ya kutumia idara ya maendeleo ya jamii moshi vijiji kupanga mkakati wa kugawa vyombo vya ndani kwa wapiga kura kama vikombe,bakuli,sahani nk kwa wapiga kura kwa sharti la kuchagua CCM kuanzia ngazi ya shina,mtaa,kata na ubunge.

Huku ni kuwadhalilisha watanzania na kwa pamoja tupinge udhalilishaji huu!
 
  • Thanks
Reactions: Gor
huko waambie Wachukue tu.ila kura hawapati
 
Chukua hivyo vyombo ila kura ni siri yako ..... hats Escrow ilikuwa siri yao
 
vyombo vya escrow kwanini uviache !!! chukua tuu kula ccm kura chadema
 
Lugha ni tatizo sana, breaking news kweli hii!!
 
Hiyo ndo fedha ya ESCROW imeanza kufanya kazi. Washauliwe wachukue ni mali yao ila kura wanyimwe.
 
Ndugu wanajamvi!Mbunge viti maalum (CCM)amebainika akitumia mbinu chafu ya kutumia idara ya maendeleo ya jamii moshi vijiji kupanga mkakati wa kugawa vyombo vya ndani kwa wapiga kura kama vikombe,bakuli,sahani nk kwa wapiga kura kwa sharti la kuchagua CCM kuanzia ngazi ya shina,mtaa,kata na ubunge.

Huku ni kuwadhalilisha watanzania na kwa pamoja tupinge udhalilishaji huu!
kwa chagga jambo ilo haiwezekani
 
Ndugu wanajamvi!Mbunge viti maalum (CCM)amebainika akitumia mbinu chafu ya kutumia idara ya maendeleo ya jamii moshi vijiji kupanga mkakati wa kugawa vyombo vya ndani kwa wapiga kura kama vikombe,bakuli,sahani nk kwa wapiga kura kwa sharti la kuchagua CCM kuanzia ngazi ya shina,mtaa,kata na ubunge.

Huku ni kuwadhalilisha watanzania na kwa pamoja tupinge udhalilishaji huu!

Sasa hii ndio breaking news! Mijitu mingine bana, inawaza uchawi tu!
 
Chukua vyombo,mie nimeoa juzi sijachonga kabati kama vipi makamanda waambieni gambaz wagawe na makabati,nije nichukue moja...ndiyo muda wa mavuno umeshaanza mpaka October,2015 haki ya Mungu lazima nitakuwa na nyumba ya pili from gambaz Escrow akaunt,Mwanza tight jamaa walishashituka hawatoi ngawira na taka badili chimbo mieeeee
 
sasa huo ni mkakati na wewe,wachaga walishavuka level ya kudanganywa ndugu,inaonekana na wewe una tatizo kichwani
 
Moshi Vijijini imekuwa chini kimaendeleo kwa muda sasa..Mbunge Dr Cyril Chami sijawahi mwona akiongelea kuhusu jimbo lake, sijawahi hata mwona kama anahuduria Bungeni..miradi ya Umeme wa REA imekuwa silent kwa kukosa uhamasishaji na ufuatiliaji..Nashauri this time tupate mwingine..
 
Moshi Vijijini imekuwa chini kimaendeleo kwa muda sasa..Mbunge Dr Cyril Chami sijawahi mwona akiongelea kuhusu jimbo lake, sijawahi hata mwona kama anahuduria Bungeni..miradi ya Umeme wa REA imekuwa silent kwa kukosa uhamasishaji na ufuatiliaji..Nashauri this time tupate mwingine..

unataka atumie mshahara wake?
unataka akiwa bungen awe anakaa kwa spika ili ujue yupo? umeyaona hayo mawili tu? unataka kila akifanya awe anaita vyombo vya habar? akija jimbo awe anakujulisha wewe kuwa leo nipo?
 
Kama wamepotea kabs kwenye escrow wanapotea hata kwny huu mradi wao
 
Back
Top Bottom