Sisi kama vuguvugu la madiliko hatuwatambui watu wa visiwani ( Zan & Pemb).
Zanzibar wana wa2 1.5 million ambao wanaingia mara mbili kwa mji mzima wa Mwanza na wanaingia mara 9 kwa kanda ya ziwa.
Chadema wanaitaji kushinda kwa kishindo KANDA YA ZIWA, KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, na KANDA YA KASKAZINI. Maeneo mengine ya nchi CDM watagawana kura na vyama vingine.
Zanzibar haina umuhimu.
M4C ni mkakati binafsi wa Mbowe wa kujiimarisha kisiasa na aombe mungu mzee Mtei awepo mpaka kipindi cha uchaguzi vinginevyo jasho pua litamtoka.
wahesabu na ndugu zao wapenzi walioko bara nao nadhani unawajuwa na hata huko mwanza wako. Kisha hesabu kura zako. Ukishinda uchaguzi wa urais ntatembea uchi siku hiyo. Nakuahidi.
Mnataka kuhamisha majoka yenu huku CDM? Hii style ya uroho wa madaraka ipo Mwabwepande tu kaka sio huku. Pole
Mbowe ni coward!
Zanzibar si nchi nyingine? Mwisho wenu 2014 tarehe 26 April siku ambayo katiba mpya itasema Zanzibar na tanganyika ni nchi mbili tofauti...Wewe ndio utakuwa wa kwanza kuruid kwenu Zenji zombaMie naona kwanza wangejaribu kupata japo nusu kitu (uwakilishi) huko Zanzibar.
Mkuu Kimbunga,
Mbona umefanya makusudi umemsahu Lema na kundi lake.
Zanzibar si nchi nyingine? Mwisho wenu 2014 tarehe 26 April siku ambayo katiba mpya itasema Zanzibar na tanganyika ni nchi mbili tofauti...Wewe ndio utakuwa wa kwanza kuruid kwenu Zenji zomba
Akili za akina Mazomba hizi .
CCM knows kwamba Mbowe amekuwa kisiki na Slaa .Sasa wanaanza majungu .Akili ndogo hizi haziwezi kuongoza kubwa .Mkakati umeshindwa kabla haujaanza .Mbowe is very smart na hana shida na Urais na yeye kugombea uenyekiti tena nakubali maana ameongoza vyema Chadema akiwemo Zitto na wote wana Chadema .Mbona hamsemi Lipumba na KAFU maana mnajua kisiki ni Chadema na viongozi wake[/QUOTE]
Mkuu, Lunyungu hapo kwenye RED umemaliza. Na hii pia inathihirisha ule msemo " Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe".
Freeman Alkaeli Mbowe anaamini kuwa fursa ya CHADEMA kuchukua nchi ni 2015,hivyo ni fursa muhimu kwake kugombea urais kupitia CHARDEMA,ili afanikiwe ameamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA mwakani ili ajiweke katika nafasi nzuri kinyume na kauli yake kuwa hatagombea uenyekiti tena.
Ili kufanikiwa kwa sasa mkakati unaoratibiwa na wafanyakazi wa CHADEMA ndani ya chama ni kuandaa na kuratibu mapambano dhidi ya Dr.Slaa anaeonekana kuwa kikwazo kikuu na kisiki cha mpingo kwake,hofu juu ya zitto inazidi kupungua kutokana na umri,kasha zinazozidi kumuandama Kabwe.
Wapenda haki na mabadiliko ndani ya nchi hii,mwambieni Freeman Mbowe kuwa kwa sasa Dr.Slaa anafaa kwa vigezovyote japo anamadhaifu mengi kama wanadamu wengine lakini ukimlinganisha na Mbowe utajua umuhimu wa Dr. Slaa.
Naomba kusema haya kwa kuwa napenda mabadiliko yatakayohakisi maisha ya watanzania na si vinginevyo
Mkuu hujasikia kuna mama anapitapita huku na huku kusafisha njia? Zitto ana kundi la vijana, Dr. Slaa ana ...........
Kimbunga,Mkuu TUMBIRI nakubaliana na wewe kwamba ushawishi wa zitto kwa vijana si kama wakati ule. Naamini kumekuwa na juhudi za makusudi za kumchafua. Siamini kama ni mchafu kiasi hicho. Ni kweli kuna vijana huwa wanajichanganya na sisi wazee kwenye kijiwe chetu cha kahawa wanasema Zitto ni mvurugaji ukiwauliza kwa vipi wanakosa la kusema; wamesoma kwenye magazeti! Pamoja na hayo lakini bado Zitto ana kundi kubwa la vijana ndani ya CDM. Vijana wa CDM wanaungana kupinga uhafidhina ndani ya Chama chao.