Nashukuru mkuu kwa jibu zuri.Tuntemeke bana sijui ana shida gani.
Busara itatumika kupata mgombea sahihi 2015, shaka ondoa.
Aliyegombea 2010 ni mchaga?BUSARA ZITATUMIKA AU UCHAGA UTATUMIKA VIP?WEKA WAZI BWANA maana cdm kwa wachaga sindio nyumbani
Mkuu hebu tudadafulie basi. CCM tunayafahamu makundi na wafuasi wa baadhi wanaosemekana kutaka kuwania urais. Wengine wameshaanza kupigana vikumbo kwenye uongozi wa Uvccm. Lakini binafsi sijasikia makundi ambayo yameanza kujidhatiti kwa CDM zaidi ya Zitto kusikika/kusemwa kuwa anafikiria hivyo lakini hakuna uthibitisho wa makundi na jitihada zake (kama sijakosea). Kama unafahamu chochote juu ya makundi na mitandao yao na jinsi wanavyojipanga kimya kimya basi tuwekee mkuu.Nani asiyejua kwamba Urais ni mtamu? Nani asiyeutaka? Watu wanajipanga wanapanga mitandao yao ndani ya vyama ndio maana hakuna chama ambacho tayari kimeishamtaja mgombea Urais wake. Ndani ya CDM kuna mitandao ya Urais halikadhalika CCM kuna mitandao ya Urais. Watu wanajipanga kimya kimya wakiviziana. Mbowe ana karata ya kuwa KUB na pia Mwenyekiti wa Chama kwa sasa na Dr. Slaa ana karata ya kuwa Katibu Mkuu wa Chama nasi kila mmoja anajipanga kivyake.
BUSARA ZITATUMIKA AU UCHAGA UTATUMIKA VIP?WEKA WAZI BWANA maana cdm kwa wachaga sindio nyumbani
Mkuu hebu tudadafulie basi. CCM tunayafahamu makundi na wafuasi wa baadhi wanaosemekana kutaka kuwania urais. Wengine wameshaanza kupigana vikumbo kwenye uongozi wa Uvccm. Lakini binafsi sijasikia makundi ambayo yameanza kujidhatiti kwa CDM zaidi ya Zitto kusikika/kusemwa kuwa anafikiria hivyo lakini hakuna uthibitisho wa makundi na jitihada zake (kama sijakosea). Kama unafahamu chochote juu ya makundi na mitandao yao na jinsi wanavyojipanga kimya kimya basi tuwekee mkuu.
Mkuu Mwita Maranya, huyu ni Tuntemeke, kaja na hila zake za uovu!OPORO Umepotea njia. Uliza wenyeji wakuelekeze
Heri ya mbowe kuliko slaa...akigombea itabidi nikapige kura kwa mara ya kwanza nimpigie.wala hakuna makubaliano rasmi kwamba lazima slaa ndo awe mgombea wa urais.
Freeman Alkaeli Mbowe anaamini kuwa fursa ya CHADEMA kuchukua nchi ni 2015,hivyo ni fursa muhimu kwake kugombea urais kupitia CHARDEMA,ili afanikiwe ameamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA mwakani ili ajiweke katika nafasi nzuri kinyume na kauli yake kuwa hatagombea uenyekiti tena.
Ili kufanikiwa kwa sasa mkakati unaoratibiwa na wafanyakazi wa CHADEMA ndani ya chama ni kuandaa na kuratibu mapambano dhidi ya Dr.Slaa anaeonekana kuwa kikwazo kikuu na kisiki cha mpingo kwake,hofu juu ya zitto inazidi kupungua kutokana na umri,kasha zinazozidi kumuandama Kabwe.
Wapenda haki na mabadiliko ndani ya nchi hii,mwambieni Freeman Mbowe kuwa kwa sasa Dr.Slaa anafaa kwa vigezo vyote japo anamadhaifu mengi kama wanadamu wengine lakini ukimlinganisha na Mbowe utajua umuhimu wa Dr. Slaa.
Naomba kusema haya kwa kuwa napenda mabadiliko yatakayohakisi maisha ya watanzania na si vinginevyo
Mkuu hujasikia kuna mama anapitapita huku na huku kusafisha njia? Zitto ana kundi la vijana, Dr. Slaa ana kundi la wakereketwa na Freeman Aikael Mbowe ana kundi la wahafidhima ndani ya chama! Unataka udadavuzi zaidi? Mkuu siasa ni kujipanga na siasa ni makundi hakuna siri yoyote na asikudanganye mtu kwamba kuna mwanasiasa ambaye anataka uongozi lakini hana kundi hasa akiwa anataka uongozi huo kupitia jumuiya fulani kama chama cha siasa.
Kwa sasa CDM hakuna mgombea Urais kwa hiyo nafasi ipo kwa yeyote atakayemzidi mwenzake kwenye uamuzi ndani ya chama. Hivyo basi watu wanajenga ngome zao. Ingekuwa hakuna shida basi ingekuwa wazi kwamba Dr. anapewa nafasi nyingine ya kujaribu lakini kwa kuwa si hivyo basi uamuzi wa wanachama au wazee (kumbuka uenyekiti na Zitto) utachukua nafsi.