ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 610
- 1,540
Kama siyo risasi za Polisi ni covid-19 itamaliza watu.Aliekuwa mwakilishi wa Kinyasini na aliewahi kuwa mwanasheria ndugu Aboubakar Khamis Bakar amefariki dunia,mjini Zanzibar.
Wiki hii watu wenu wa karibu watakufa.nikweli
Labda muwapige tena lisasi 21Wiki hii watu wenu wa karibu watakufa.
Yes vyovyote vilelabda muwapige tena lisasi 21
Ni ACT- Wazalendo bhanaAkafe tena na huko alikoenda
Rip!Aliyekuwa mwakilishi wa Kinyasini na aliyewahi kuwa mwanasheria ndugu Aboubakar Khamis Bakar amefariki dunia,mjini Zanzibar usiku wa kuamkia leo Novemba 11, 2020.
Soma post ya zitto inayoambatana na pichaCovid bado ipo