sikia wewe?!!!!futa hii kauli yako.jadili hayo yenu ya uchadema wenu na uccm,lakini hapa sasa unataka kujua hisia zetu ziko wapi,huna adabu kabisa wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hizi story nyingine huwa zinapikwa jikoni!!!! kwa ajiri ya propaganda tu mbona uchaguzi umeisha jana na hatujawahi kumsikia huyo kijana wa miaka 29?
na amekuwaje mwalimu wa shule na pia mwajiriwa/mjumbe wa CCM? labda alikuwa shabiki tu