WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Nadhani kunakaribiana na kuishabikia timu ya ARSENAL chini ya Wenger!
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.
Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.
Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.
Source: Tanzania Daima
Heri yako wewe uliyejitoa kwa hiari yako mwenyewe. Hawa wengine wanaosubiri kutolewa kwa kufukuzwa watakimbilia wapi?
kwa nini waandishi wa Tanzania hawapendi kuandika habari zao kwa weledi? Halmashauri Kuu ya CCM (National Executive Committee) ni chombo cha kitaifa na siyo kila Halmashauri ya CCM ni Halmashauri Kuu. Kuna Halmashauri za Kata, za Wilaya, za Mikoa na hatimaye Halmshauri Kuu ya Taifa.
Sasa huyo Prince Sabby Rwanzo ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ipi? Haya ndiyo yale ya kutumia picha ya binti wa marekani na kusema ndiye aliyesababisha Kamanda Liberatus Barlow kuuawa, vyombo vya habari vya Tanzania ndiyo maana Mzee Mkapa alisema havina weledi wa kutafuta habari!!
Kuendelea kubaki ccm unatakiwa uwe na moyo wa kijangili..
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.
Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.
Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.
Source: Tanzania Daima
Una maana ya moyo wa WAUA FARU GEORGE, WASAFIRISHA PEMBE ZA NDOVU NA TWIGA MZIMA MZIMA?
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29)amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.
Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.
Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.
Source: Tanzania Daima
Kuendelea kubaki ccm unatakiwa uwe na moyo wa kijangili..
Kubaki ndani ya ccm inatakiwa uwe na akili ya maiti
Mungi
Nakubaliana na wewe lakini mbona unaongea kama mfu?
Chama
Gongo la mboto DSM
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.
Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.
Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.
Source: Tanzania Daima
Hata mjumbe wa kata nayo ni habari?
Chama
Gongo la mboto DSM
Kama umekubaliana na mimi na we ni kama nini?
au wa maiti! Ama uwe zoba/kisheta/poyoyo
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.
Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.
Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.
Source: Tanzania Daima