Mjue "The Vanishing Hitchhaker": Mzuka/Ghost ambaye story yake ni maarufu sana Ulimwenguni

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
Ghost/ Vanishing hitchhiker ni Urban Legend ambayo ni maarufu sana ulaya na marekani ni story ambayo inamhusisha mwanaume mmoja ambaye alikuwa anaendesha gari lake mida ya usiku mrefu

Katika safari yake alikutana na mwanamke ambaye alikuwa mwenyewe barabarani usiku

Kwa imani yule jamaa alifunga breki na kumuuliza kama anahitaji lift

Yule dada akakubali na hapo hapo akaingia kwenye gari...

Jamaa akaendesha gari lile kwa muda mrefu lakini cha ajabu ni kuwa punde yule dada alipopanda kwenye gari alihisi kuna ubaridi sana

Yule jamaa aliamua kumuuliza anaenda wapi na yule dada akajibu kuwa anataka kwenda kwao kwa maana hajafika kwa muda mrefu sana

jamaa akamuuliza kwao ni wapi na yule dada bila ajizi akamuelekeza nyumbani kwao

Mwanaume yule akakanyaga gia mpaka nyumbani akamfikisha salama na kumwambia yule dada kuwa wakutane siku nyingine kwani uchu wa mapenzi ulianza kumshika bwana yule

Yule dada akapeana nae ahadi na baada ya hapo akashuka kwa ajili ya kwenda kwao yule jamaa akamsindikiza kwa macho mpaka anaingia ndani kabisa yule dada huku akimthaminisha uzuri wake na mate ya uchu yakimtoka bwana yule

Alivyotaka kuondoka kuna kitu cha ghafla kilitokea na kikamfanya ahairishe safari yake "scarf" ya yule dada ilikuwa imebaki ndani ya gari..

Akaamua aichukue na kumpelekea hivyo akanyoosha moja kwa moja mpaka kwa kina dada yule akagonga mlango

Mlango ulivyofunguliwa kitu kisicho cha kawaida kilimshtua kwa kuwa yule dada alikuwa wa mwisho kuingia na alitegemea alipogonga basi yule dada angekuja kumfungulia ila haikuwa hivyo

Mama mmoja wa makamo alikuwa kufungua mlango yule

Jamaa akamuuliza mrembo yule lakini yule mama alibaki kumshangaa, kwani nyumbani pale anaishi yeye na mumewe tu hakuna mtu mwingine anayeishi pale na saa zile walikuwepo nyumbani na hakuna mtu yeyeote aliyeingia

Yule jamaa akashtuka

Jamaa akajitutumua tena na kusema kuwa kuna mdada alimpa lift na kusema kuwa aliacha scarf na scarf yenyewe ni hii hapa akamuonyesha yule mama

Ghafla yule mama alianza kulia tena kwa nguvu, akamuita mumewe mumewe akabaki anashangaa, tena akawa anashangaa kuiona ile scarf

Yule bwana akadadisi kuwa kunani?

Wakamwambia kuwa ile scarf ni ya binti wao ambaye alifariki miaka mingi iliyopita na wakati anafariki alikuwa amevaa hiyo scarf

Jamaa hakuamini masikio yake akauliza tena kama wana picha ya yule binti na familia ile wakampeleka mpaka sehemu ambayo wameweka picha ya yule binti yao aliyefariki miaka mingi iliyopita

TOBAAAA.......

Ni yule binti aliyempa lift dakika tano zilizopita hivyo ni kuwa jamaa alibeba jini? au alibeba mzimu? au mzuka?

Jamaa alizimia hapo hapo

Story hii ikawa maarufu sana na kupewa jina la Ghost Hitchhker

Hii ndio video yake


Enjoy
 
Last edited by a moderator:
Ghost/ Vanishing hitchhiker ni Urban Legend ambayo ni maarufu sana ulaya na marekani ni story ambayo inamhusisha mwanaume mmoja ambaye alikuwa anaendesha gari lake mida ya usiku mrefu

katika safari yake alikutana na mwanamke ambaye alikuwa mwenyewe barabarani usiku

kwa imani yule jamaa alifunga breki na kumuuliza kama anahitaji lift

yule dada akakubali na hapo hapo akaingia kwenye gari...

jamaa akaendesha gari lile kwa muda mrefu lakini cha ajabu ni kuwa punde yule dada alipopanda kwenye gari alihisi kuna ubaridi sana

yule jamaa aliamua kumuuliza anaenda wapi na yule dada akajibu kuwa anataka kwenda kwao kwa maana hajafika kwa muda mrefu sana

jamaa akamuuliza kwao ni wapi na yule dada bila ajizi akamuelekeza nyumbani kwao

mwanaume yule akakanyaga gia mpaka nyumbani akamfikisha salama na kumwambia yule dada kuwa wakutane siku nyingine kwani uchu wa mapenzi ulianza kumshika bwana yule

yule dada akapeana nae ahadi na baada ya hapo akashuka kwa ajili ya kwenda kwao yule jamaa akamsindikiza kwa macho mpaka anaingia ndani kabisa yule dada huku akimthaminisha uzuri wake na mate ya uchu yakimtoka bwana yule

alivyotaka kuondoka kuna kitu cha ghafla kilitokea na kikamfanya ahairishe safari yake "scarf" ya yule dada ilikuwa imebaki ndani ya gari..


akaamua aichukue na kumpelekea hivyo akanyoosha moja kwa moja mpaka kwa kina dada yule akagonga mlango

mlango ulivyofunguliwa kitu kisicho cha kawaida kilimshtua kwa kuwa yule dada alikuwa wa mwisho kuingia na alitegemea alipogonga basi yule dada angekuja kumfungulia ila haikuwa hivyo


mama mmoja wa makamo alikuwa kufungua mlango yule

jamaa akamuuliza mrembo yule lakini yule mama alibaki kumshangaa, kwani nyumbani pale anaishi yeye na mumewe tu hakuna mtu mwingine anayeishi pale na saa zile walikuwepo nyumbani na hakuna mtu yeyeote aliyeingia


Yule jamaa akashtuka


jamaa akajitutumua tena na kusema kuwa kuna mdada alimpa lift na kusema kuwa aliacha scarf na scarf yenyewe ni hii hapa akamuonyesha yule mama

ghafla yule mama alianza kulia tena kwa nguvu, akamuita mumewe mumewe akabaki anashangaa, tena akawa anashangaa kuiona ile scarf

yule bwana akadadisi kuwa kunani?

wakamwambia kuwa ile scarf ni ya binti wao ambaye alifariki miaka mingi iliyopita na wakati anafariki alikuwa amevaa hiyo scarf

jamaa hakuamini masikio yake akauliza tena kama wana picha ya yule binti na familia ile wakampeleka mpaka sehemu ambayo wameweka picha ya yule binti yao aliyefariki miaka mingi iliyopita

TOBAAAA.......

ni yule binti aliyempa lift dakika tano zilizopita hivyo ni kuwa jamaa alibeba jini? au alibeba mzimu? au mzuka?

jamaa alizimia hapo hapo

story hii ikawa maarufu sana na kupewa jina la Ghost Hitchhker


hii ndio video yake



Enjoy

...HADITHI inafanana na ile ya JINI MARIAMU cjui JINI MAIMUNA..sikumbuki vzr,(mtazamo wangu),ila dah hapo kuzimia lazima
 
Hayo maandishi makubwamakubwa kama bango la matangazo yanatia kinyaa kusoma!
 
Back
Top Bottom