Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa.
HaaahaaaHamna watu wa maana wala NN , tatizo bongo mtu akashakua na degree basi anaona wengine wasionazo hawastahili Kula shavu
AiseeHuyo ni fundi seremala mzuri tu...anachonga fenicha vizuri sana maeneo ya Keko maghorofani hapo.
Siku ya kudondoka kwa iliyokuwa Chang'ombe Village (sasa National Hotel), Peter alikuwa ndani ya jengo akirekebisha moja ya milango ya vyumba vya hoteli ghorofa ya tano..
Vigae vilivyoezekea hoteli vilianza kudondoka kimoja kimoja na jengo kuanza kucheza ndipo yeye aliruka kutoka ghorofa ya 5 kupitia dirishani...alitua salama juu ya kifusi cha mchanga!
Kimo chake kilimsaidia hakuumia hata chembe kwani 'centre of gravity' yake iko chini kama ya mtoto!
Sent using Jamii Forums mobile app
asumani Tajili
Asumani bwegu
atabaki juice sana
atabaki mawinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
wivu tu we literacy imekusaidia nini
Sasa anafanya show gani?
Ha...ha...haKuna kitu wanaita Celebratory Appearance! Uwepo wake unawapa burudani watu.
Ha...ha...ha
Ni kweli, ukikaa na huyu mjamaa ni tabasamu tu. Ukimwangalia unaflahi, hiyo ni fani pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
bbc ndo walianza huo ujinga asee,, eti walimuhojiEti huyo naye 'celebrity'. Tanzania tunapenda kutoa coverage kwa vitu vya kupuuzi kweli.
Nami nimeshangaa mno hapo, 42 years hana mke wala mtoto. Atakuja kuzaa wajukuu huyuHataki kuoa kwa kukurupuka asije akajuta badae..
Hyo badae ni ipi? yan @42 still kuna badae
Sent using iPhone XS Max