Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,374
- 3,392
Habari za jioni wakuu
Leo nimeona nimzungumzie huyu kiumbe mashuhuri anaye itwa mwanaume
Kiumbe huyu mungu kamuumba kwa namna ya tofauti Sana na utofauti huo siyo sura yake ambayo akiwa kwenye matatizo Ina fanana na ngili/ nguliwe Poli
Bali hata namna yake ya kufikiri,kufanya,kutenda,kuamua,na kuwaza nikiumbe ambaye yupo tofauti sana
Sasa yafwatayo ni vile mwanaume alivyo
1)nikiumbe mwenye sifa
Wana sema mwanamke anapenda Sana kusifiwa lakini hamfikii mwanaume niamini
Majina yote ya mwanaume Kama,mwamba, ngumu,mtata,kidume,jembe,pedeshee, tajiri,mkurugenzi,boss,nk nimajina yaliyo tokana na sifa kwa sababu anapenda sifa
Kwahiyo wewe mama hapo nyumbani,hapo grocery,na hapo bar,na hapo mgahawani ukitaka jamaa afunguke au
azame mfukoni, au awe mteja wewe mpe misifa tu katika kile anacho kifanya
Kama nimtafutaji Basi msifu kwa kutafuta/kuwa mtafutaji atazidisha
Kama ni mpiganaji msifu kwa uhodari wa upiganaji ata zidisha
Na Kama ni mtafutaji na mwenye malengo msifu kwa kuwa mwenye malengo atazidisha
Wanawake wengi hufanya hivyo kwa waume zao ili kuwafanya wafikie lengo frani kwenye maisha
kwa kuwaambia kwamba mme wangu najua una weza kujenga,kununua gari,kufungua maduka na wanaume wao hufanya hivyo kweli
2)Kila anacho fanya ni kwa ajiri ya mwanamke
Waganga wengi huwaambia watu kwamba utakuwa na Hera Ila usitoke nje ya ndoa na wanaume wengi hushindwa kufanya hivyo na kujikuta Wana okota makopo
Unajua kwanini?
Waganga sio wajinga wanalijua hilo mwanaume humwambii kitu kuhusu mwanamke
Kichwani kwa mwanaume Kuna vitu vitatu vinavyo msubua Sana akili
1)Nyumba nzuri
2)gari nzuri
3)mke mzuri
Ukitoa kimoja hapo mwanaume hujiona haja kamilika
3) kuona mbali
Mwanaume huwaza kwa ulefu Sana hata kwenye ndoa inapo tokea ugomvi mke aka amua kuondoka Basi mwanaume huwa wa Kwanza kujaribu kuweka Mambo sawa Hilo lisi tokee
Siyo kwa sababu anampenda Sana mkewe no. Ila nikwasababu kichwani kwa mwana ume anaona watoto watakavyo teseka baadae
Anaona mke atakavyo Anza kuhangaika mitaani kwa kuuza matunda Kama sio kwenda kufanya kazi za kujiuza mitaani au kwenye ma bar na night crubs
Kisha aibu kumludia yeye hivyo hujitahidi kuzuia lisitokee
Kwahiyo wewe dada ukiona mumeo Ana kubembeleza sio mapenzi bari Ana ihofia kesho yako na watoto zako
4) mwanaume siyo mbinafs
Anapo Jenga Nyumba kichwani kwake hufikiria kwamba Baada ya yeye kufa
Basi atakuwa ame mwacha mkewe na watoto kwenye mazingira sarama" hafikirii kwamba Baada ya mkewe kufa atakuwa ame mwacha yeye/mwanaume na watoto sehemu sarama
Hapo utaona jinsi gani mwanaume ni mtu wakujitoa kafara kwa ajiri ya wengine
5)hapendi usariti kwenye mapenzi
Katika vitu ambacho mwanaume anachukia kwenye maisha yake Basi nikuingiliana kimapenzi na mwanaume mwingine kwa mke wake
Hata Kama ata samehe Basi elewa kwamba hakuamini na kamwe hayo kuamini tena Baada ya kulijua Hilo maisha yenu yote
6)Ana penda kuheshimiwa
Kitu Cha Kwanza mwanaume Ana penda niku heshimiwa mwanaume hapendi dharau Wala hasahau ukimdharau
Mambo yote anayo ya fanya mwanaume,utaftaji wote kitu pekee anacho kitaka ni heshima ukimvunjia hicho aisee haji Kuku samehe Wala kusahau
7)msamaha
Hakuna kitu mwanaume humvutia Kama Neno samahani ya dhati
Ukimkosea omba msamaha hata kosa liwe kubwa kiasi gani ukiomba msamaha akajua kweli unajutia kosa lako mwanaume husamehe papo hapo
Na hutengeneza mazingira usihisi kabisaaa kwamba hajakusamehe hata Kama Ana kinyongo
Zidisha juhudi kwa maneno na vitendo kuomba msamaha kadri utakvyo zidi kufanya hivyo utamfanya asahau taratibu
Ukiskia wanaume wame pigana Basi Kuna Mambo mawili
a)pesa
B)kuvunjiana heshima
Mwanaume mnyime pesa mpe heshima Ina tosha Sana
8)hapendi uonezi
Ukitaka uamini hili mpige mkeo/mtoto wa kike kwa ngumi mbele za wanaume wenzio
Uone kitakacho kukuta
🙏🙏🙏
Leo nimeona nimzungumzie huyu kiumbe mashuhuri anaye itwa mwanaume
Kiumbe huyu mungu kamuumba kwa namna ya tofauti Sana na utofauti huo siyo sura yake ambayo akiwa kwenye matatizo Ina fanana na ngili/ nguliwe Poli
Bali hata namna yake ya kufikiri,kufanya,kutenda,kuamua,na kuwaza nikiumbe ambaye yupo tofauti sana
Sasa yafwatayo ni vile mwanaume alivyo
1)nikiumbe mwenye sifa
Wana sema mwanamke anapenda Sana kusifiwa lakini hamfikii mwanaume niamini
Majina yote ya mwanaume Kama,mwamba, ngumu,mtata,kidume,jembe,pedeshee, tajiri,mkurugenzi,boss,nk nimajina yaliyo tokana na sifa kwa sababu anapenda sifa
Kwahiyo wewe mama hapo nyumbani,hapo grocery,na hapo bar,na hapo mgahawani ukitaka jamaa afunguke au
azame mfukoni, au awe mteja wewe mpe misifa tu katika kile anacho kifanya
Kama nimtafutaji Basi msifu kwa kutafuta/kuwa mtafutaji atazidisha
Kama ni mpiganaji msifu kwa uhodari wa upiganaji ata zidisha
Na Kama ni mtafutaji na mwenye malengo msifu kwa kuwa mwenye malengo atazidisha
Wanawake wengi hufanya hivyo kwa waume zao ili kuwafanya wafikie lengo frani kwenye maisha
kwa kuwaambia kwamba mme wangu najua una weza kujenga,kununua gari,kufungua maduka na wanaume wao hufanya hivyo kweli
2)Kila anacho fanya ni kwa ajiri ya mwanamke
Waganga wengi huwaambia watu kwamba utakuwa na Hera Ila usitoke nje ya ndoa na wanaume wengi hushindwa kufanya hivyo na kujikuta Wana okota makopo
Unajua kwanini?
Waganga sio wajinga wanalijua hilo mwanaume humwambii kitu kuhusu mwanamke
Kichwani kwa mwanaume Kuna vitu vitatu vinavyo msubua Sana akili
1)Nyumba nzuri
2)gari nzuri
3)mke mzuri
Ukitoa kimoja hapo mwanaume hujiona haja kamilika
3) kuona mbali
Mwanaume huwaza kwa ulefu Sana hata kwenye ndoa inapo tokea ugomvi mke aka amua kuondoka Basi mwanaume huwa wa Kwanza kujaribu kuweka Mambo sawa Hilo lisi tokee
Siyo kwa sababu anampenda Sana mkewe no. Ila nikwasababu kichwani kwa mwana ume anaona watoto watakavyo teseka baadae
Anaona mke atakavyo Anza kuhangaika mitaani kwa kuuza matunda Kama sio kwenda kufanya kazi za kujiuza mitaani au kwenye ma bar na night crubs
Kisha aibu kumludia yeye hivyo hujitahidi kuzuia lisitokee
Kwahiyo wewe dada ukiona mumeo Ana kubembeleza sio mapenzi bari Ana ihofia kesho yako na watoto zako
4) mwanaume siyo mbinafs
Anapo Jenga Nyumba kichwani kwake hufikiria kwamba Baada ya yeye kufa
Basi atakuwa ame mwacha mkewe na watoto kwenye mazingira sarama" hafikirii kwamba Baada ya mkewe kufa atakuwa ame mwacha yeye/mwanaume na watoto sehemu sarama
Hapo utaona jinsi gani mwanaume ni mtu wakujitoa kafara kwa ajiri ya wengine
5)hapendi usariti kwenye mapenzi
Katika vitu ambacho mwanaume anachukia kwenye maisha yake Basi nikuingiliana kimapenzi na mwanaume mwingine kwa mke wake
Hata Kama ata samehe Basi elewa kwamba hakuamini na kamwe hayo kuamini tena Baada ya kulijua Hilo maisha yenu yote
6)Ana penda kuheshimiwa
Kitu Cha Kwanza mwanaume Ana penda niku heshimiwa mwanaume hapendi dharau Wala hasahau ukimdharau
Mambo yote anayo ya fanya mwanaume,utaftaji wote kitu pekee anacho kitaka ni heshima ukimvunjia hicho aisee haji Kuku samehe Wala kusahau
7)msamaha
Hakuna kitu mwanaume humvutia Kama Neno samahani ya dhati
Ukimkosea omba msamaha hata kosa liwe kubwa kiasi gani ukiomba msamaha akajua kweli unajutia kosa lako mwanaume husamehe papo hapo
Na hutengeneza mazingira usihisi kabisaaa kwamba hajakusamehe hata Kama Ana kinyongo
Zidisha juhudi kwa maneno na vitendo kuomba msamaha kadri utakvyo zidi kufanya hivyo utamfanya asahau taratibu
Ukiskia wanaume wame pigana Basi Kuna Mambo mawili
a)pesa
B)kuvunjiana heshima
Mwanaume mnyime pesa mpe heshima Ina tosha Sana
8)hapendi uonezi
Ukitaka uamini hili mpige mkeo/mtoto wa kike kwa ngumi mbele za wanaume wenzio
Uone kitakacho kukuta
🙏🙏🙏