Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,369
- 7,611
Mi siamini kama huyu ni kibaka. Kuna story itakuwa inafichwa, inawezekana alikwenda kurivenji kwa watu Fulani waliomfanyia unyama. Ngoja tusubiri.anyongwe tu, manake hamna namna
cc barafuHuyo jamaa mkimfuata watu kama kumi huwa anafurahi sana na mara nyingi ugomvi wake hapigani na mtu mmoja
Pale kwa mnyamani wanamjua huyo jamaa alishawai kuwavunja mikono zaidi ya watu kama 7
Bora nae auwawe tu huo ushahidi wa kimahakama wa nini kwa mtu kama huyu
Sent from mTalk
Hapa shindano la Dume condomHapa alikua anahojiwa wapi na kuhusu nini.... nadhani kuna mengi juu ya huyu mtu...angekua kibaka tu wa kawaida tusingejiuliza
Hao wa vigogo pia wana haki ya kuishi, kuwa mtoto wa kigogo au tajiri haimanishi hustahili kuishi au kufanyiwa unyama, huyu kama ndo muhusika halisi hastahili hata kula ugani na maharage yetu ya jela kuendelea kutumia kodi zetu anapaswa kunyongwa tu tena hadharani.
Mkuu macho_mdiliko wanaume kumi mlioenda jando mnamshindwaje mtu mmoja?
Scorpion ni mhalifu hatari ambaye amekuwa akifanya mambo mengi ya kinyama kwa watu na mali zao eneo la Buguruni na maeneo mengi ya jijini Dar na Tanzania kwa ujumla.
Wiki iliyopita alifanya tukio la kinyama la kumtoa macho mpita njia maeneo ya Buguruni na wananchi wakawa wanaogopa hata kusaidia, ila inaonesha ana genge kubwa analoshirikiana kufanya huu unyama na ndio mana anapata jeuri ya kufanya unyama wa kutisha mbele za watu bila kuogopa.
Hivyo tunamuomba Waziri wa mambo ya Ndani Mh Mwigulu Lameck Nchemba, IGP Ernest Mangu na Idara yote ya usalama wa taifa wafuatilie vizuri mizizi ya huyu mtu na kuing'oa hiyo mizizi, ili kuweza kuwalinda watanzania na watu hatari kama hawa.
Kingine ni kuiomba serikali itoe adhabu kali kwa huyu muuaji scorpion ili pia iwe fundisho kwa wenzake waliopo mtaani.
Hizi ni baadhi za picha za muuaji scorpion na aina ya maisha yakeView attachment 413152View attachment 413153View attachment 413154View attachment 413155View attachment 413156View attachment 413157View attachment 413158View attachment 413159
Kuna tatizo?Mademu nanyi?
Hapana huyo ni katili tuKupotia hilo ghorofa ushampenda
Duuuh aiseee, Aksante kwa tahadhari mkuu.Aisee pale ni hatari, ukiwa pale usimwamini mtu kabisa wala ikiwezekana usisalimiane na mtu usiyemjua pale!
Ukipita pale kwa miguu au ukiwa unasubiri usafiri inabidi uwe na machale!
Ukiona kuna mtu anakusalimia kaa nae mbali angalia nyuma na mbele, kushoto na kulia kwa tahadhari maana hivyo vishetani vinakuwa vimeshakusoma, na some time unaweza kuchukua tahadhari lakini kwa kuwa vinajua hupati msaada vinakukaba!, na hapo ndipo tatizo lilipo...
Usalama pale hakuna, polisi jamii sujui wanafanya kazi gani!
Pale kituo cha polisi kipo karibu lakini uhalifu unafanyika sana pale!
Kuna nini kipo nyuma ya hayo matukio, hivi kweli kituo cha polisi sehemu kilipo inawezekanaje matukio ya kihalifu kutokea pale!
Ni mengi sana yanatokea ila hayaripotiwi kwenye vyombo vya habari!
Wenye kumjua wanasema etii, hapo mitaa ya buguruni ilishawahi kutokea unyang'anyi wa vibaka dhidi ya mjomba wake, yeye kwa historia fupi amefunzwa taekondu na ameshiriki kwenye hilo shindano la dume kondom, hicho anachofanya ni kulipiza kisasi kwa vibaka waliompora mjomba wake na kumvunja mikono, bahati mbaya wenyeji wa eneo la buguruni walimlengesha kwa makusudi huyo jamaa alietobolewa macho kwamba ni mmoja ya waliompora mjomba wa jamaa.Scorpion ni mhalifu hatari ambaye amekuwa akifanya mambo mengi ya kinyama kwa watu na mali zao eneo la Buguruni na maeneo mengi ya jijini Dar na Tanzania kwa ujumla.
Wiki iliyopita alifanya tukio la kinyama la kumtoa macho mpita njia maeneo ya Buguruni na wananchi wakawa wanaogopa hata kusaidia, ila inaonesha ana genge kubwa analoshirikiana kufanya huu unyama na ndio mana anapata jeuri ya kufanya unyama wa kutisha mbele za watu bila kuogopa.
Hivyo tunamuomba Waziri wa mambo ya Ndani Mh Mwigulu Lameck Nchemba, IGP Ernest Mangu na Idara yote ya usalama wa taifa wafuatilie vizuri mizizi ya huyu mtu na kuing'oa hiyo mizizi, ili kuweza kuwalinda watanzania na watu hatari kama hawa.
Kingine ni kuiomba serikali itoe adhabu kali kwa huyu muuaji scorpion ili pia iwe fundisho kwa wenzake waliopo mtaani.
Hizi ni baadhi za picha za muuaji scorpion na aina ya maisha yakeView attachment 413152View attachment 413153View attachment 413154View attachment 413155View attachment 413156View attachment 413157View attachment 413158View attachment 413159
Kwamba shindano lilikua la wahalifu au?Huyu kijana ndio amewahi kushiriki shindano la dume challenge chini ya dume condom??
Kama ndio,basi ipo sababu ya kuwakamata wale waliokuwa washiriki wenzake wote kwa uchunguzi zaidi..
Cc. Mwigulu&Makonda
wacha weee....jamaa ni handsome na romantic ila kwa unyama wake hata nyege zimeniishia