CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
AMINA JUMAA MAGOGO.
ELIMU.
Mh Amina Magogo alianzishwa elimu Yake ya msingi katika shule ya msingi Namanga,mwaka 1999_2005.
Baada ya kumaliza elimu Yake ya msingi,alifaulu na kujiunga na shule ya sekondari KUNDUCHI GIRL ISLAMIC SCHOOL 2006_2009.
Na baada ya kumaliza elimu ya secondari ,aliendelea na masomo ngazi ya advance ktk shule ya ZANAKI SEC SCHOOL.
Baadae ,akapata fursa ya kujiunga na chuo cha uhasibu ,INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT (IFM) mwaka 2013-2016 na kuibuka na diploma ya banking and finance.
KIUPANDE WA CHAMA.
Mhe,Amina J.Magogo.
Alijiunga na Cuf mwaka 2014,mkoa Wa Tanga,wilaya ya handeni,kata ya Mabanda,Tawi la Komoza
Mh Amina mwaka huu 2020 Kwa mapenzi na heshima ya chama chake ameamua kutia nia kuomba ridhaa ya chama chake ,kugombea ubunge ,jimbo LA korogwe mjini endapo atapita kwenye mchakato wa kura za maoni .
Hiyo ndio historia fupi ya Mh Amina Magogo,mgombea Wa Cuf,jimbo LA Korogwe mjini.