Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Tena kama movie industry ya Tanzania ikaamua kushirikiana na watafiti wa Historia ili kutengeneza movie za hawa wababe wa miaka ile waliokataa hbari za kuuza utu na heshima yao kwa the so called investors. Waliofanya hata kama ilikuwa kipindi chao yanastahili heshima kubwa mpaka leo hii.Kuna haja, tena haja kubwa sana!!! Ya kurejea historia ya taifa letu... labda tutajirudi ustaarabu wa kusaidiana, kuheshimiana na kuepuka choyo, chuki, ufisadi nk.