kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,481
Hapo kwenye jinsia mbili utoto tulikwa tuna danganyana fisi atakae muwahi mwenzake ndie anageuka kuwa jike, kumbe Niki nanii
Ni AntenaHapo kwenye jinsia mbili utoto tulikwa tuna danganyana fisi atakae muwahi mwenzake ndie anageuka kuwa jike, kumbe Niki nanii
ukiitwa fisi pigana aiseeeee
hahaha kamla mwenzie ""ukiitwa fisi pigana aiseeeee
hua wana tabia moja hawa viumbe endapo mwenzao akifanya mawindo pekee ake na kula mwenyewe basi sharti afute damu zitakazo bakia mdomoni vinginevyo akird kundini na wenzie kumuona na damu mdomon basi watamuhesabu ni msaliti na kuuwawa alafu watamfanya kitoweo chaoNishawahi ona sehemu wameuana kisha yule aliyeua akaanza kumla mwenzake hii imekaaje Mkuu.
Sababu hujaongelea kama wanatabia ya kulana nyama wao kwa wao?
omba tu pindi utakapo kutana nae basi na awe mmoja wakiwa zaidi ya hapo jihesabu ni kitoweo chaoNi ngumu sana mtu kuamini kama kuna umuhimu wa jujifunza kuhusu kujihami na kutumia mbinu hizo mbalimbali za kujilinda na fisi kwa sababu haingii akilini kwa mtu kwamba kuna siku atakutana na fisi katika mazingira hatari. Ndugu usishangae inawezekana kabisa. Mimi niliwahi kusafirisha msiba tukapita Ngorongoro lakini huko mbele ya safari tukapotea njia humo porini ghafla gari ikashindwa kupandisha milima usiku na mvua inanyesha ikabidi baadhi tutembee kwa miguuu ilikuwa hatari sana na hakuna gari iliyo karibu. Dereva alivyoona gari inapanda-panda kwa kuwa nyepesi sijui kajisahau kavuta mafuta tunakimbiza gari mpaka gari ikapotea kabisa kwenye kona kona za mlima kaenda kutusubiri huko juu. Ilikuwa hatari sana maana tulikutana na gari moja inashuka jamaa katuambia ili eneo ni hatari sana kuna mtu aliuwawa na simba mwaka jana hapa mlimani tusifanye mzaha kabisa au vipi turudi nyuma getini tujipange upya.