Mjue komando Ali Mahfoudh

Mjue komando Ali Mahfoudh

Hkn mtawala ambae hajauwa kaka, ili utawale lzm uuwe kuwaogopesha wengine. Karbia asilimia kubwa ya dhahama iliyokaikumbwa znz huyo bwana ndio alikuwa injinia. Je hapo wasemaje?
Nitajie hapa Wazanzibar aliowaua Nyerere? Dogo umezaliwa miaka ya 2000 jitahidi kusoma historia sahihi na siyo hizo mnadanganywa kwenye vijiwe
 
Sijaelewa pale mwandishi anaposema jamaa aliwekwa kizuizini kuanzia 1972 hadi 1978 na kwenye aya nyingine anasema baada ya mbinyo mkali wa Amnesty International yeye na wenzake wakaachiwa April, 1972.
Ni hapa ndipo nlipogundua kua hii ni 🍵 ☕️ 🫖
 
Baada ya karume kuuwawa, viongozi wa jeshi walihisi Mahfoudh anahusika hvo wakatoa taarifa bara,huku ikatoa ripot kuwa watu watatu wanahitajika makao makuu ya jeshi kuhudhuria kikao cha ulinzi na usalama akiwemo na Mahfoudh, wakapanga chopa, ile kufika dar tu mkuu wa majeshi akasema kikao chetu kifupi sana kuanzia sasa mko chini ya ulinzi, vua mkanda,vua kofia,toa beji.

Gharib chassany anasema kwamba "Mahfoudh baada ya kusikia kauli hyo akaingiza mkono mfukoni akaibuka na kitabu cha cheki,akaandika cheti ya maana pesa ya kutosha km miez 6 hvi,hlaf akawaambia hii nifikishieni kwa mke wangu,haya twendeni".

Yan hana wasiwasi hata kdg mwamba. Wakaondoka Lugalo na mp km wte had ukonga pale, wakagawanyishwa vyumba,ila wenzake wale wawili walitokea mlango wa nyuma hawakugusa kbs lumande 7bu Target ilikuw kumpata Mahfoudh tu.

Mwaka huohuo msumbj iliomba jamaa awe mashauri wa mambo ya ulinzi huko kwao,hvo nyerer akaona ni vzr ila adhabu bado iko palepale kwamba yuko kizuizin hatakiwi kukanyaga Tanzania.

Mwaka 78 vita ya kagera ilipoanza Mahfoudh alimuomba sana nyerer arud akaisaidie nchi yake kwenye mapambano lkn nyerer alikataa 7bu aliona akirudi tu lzm atalipizwa kisasi na wazanzibari.

Maoni yangu, ktk mkasa huu wa Mahfoudh kumuua karume naona kbs kuna mkono wa mwalimu kwa kiasi kikubwa, Mahfoudh na wenzake akina luteni humudi na kapteni ahmada walitumiwa tu km njia ya kufanikisha jambo lake. Kwanin nyerer hakuruhusu Mahfoudh auwawe 7bu ilikuw wazi kbs huyu ni wa kuuwawa tu,kwanin alimkingia kifua had akaona bora ampeleke Msumbiji na asirudi Tanzania? Ni hapo tu.



Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuna siku Ghassany alikuwa anazungumza na Wazanzibari/ Watanzania wanajadili suala hili. Ilikuwa wanajadili kitabu ma kesi ya mke wake Mahfoudh ilivyoenda.

Hitimisho la wengi, pamoja na Sheikh Ghassany mwenyewe, lilikuwa kwamba Mahfoudh hakuhusika kifo cha Karume ila SMZ ilimuona hatari tu akaunganushwa.

Pengine ndiyo sababu Nyerere hakutaka auawe.
 
Kuna siku Ghassany alikuwa anazungumza na Wazanzibari/ Watanzania wanajadili suala hili. Ilikuwa wanajadili kitabu ma kesi ya mke wake Mahfoudh ilivyoenda.

Hitimisho la wengi, pamoja na Sheikh Ghassany mwenyewe, lilikuwa kwamba Mahfoudh hakuhusika kifo cha Karume ila SMZ ilimuona hatari tu akaunganushwa.

Pengine ndiyo sababu Nyerere hakutaka auawe.
Nyerere aliokoa wazanzibar wengi baada ya kugundua tabia ya Karume ya chinjachinja, alifanya kosa kumrudisha Hanga lakini wazanzibar wanamwona Karume ni shujaa huku Nyerere ni adui. Ndio maana Nyerere aliwahi kutoa kauli angekuwa na uwezo angevisukumia mbali visiwa vya Zanzibar
 
Nyerere aliokoa wazanzibar wengi baada ya kugundua tabia ya Karume ya chinjachinja, alifanya kosa kumrudisha Hanga lakini wazanzibar wanamwona Karume ni shujaa huku Nyerere ni adui. Ndio maana Nyerere aliwahi kutoa kauli angekuwa na uwezo angevisukumia mbali visiwa vya Zanzibar
Hiyo kauli ya mwisho sijawahi kuisikia popote. Hebu weka ushahidi hapa
 
Umri wangu ni 65, ni retired civil servant. Najuwa mengi ila hiyo sijawahi kuisikia. Just respond politely without derogatory sentiments
NAkubali umri umenizidi ila navyojua wengi wameanza kufatilia siasa baada ya mfumo wa vyama vibgi, sisi wengine tumezaliwa ndani ya siasa kuna mengi tunayajua hatuyasemi.
 
Umri wangu ni 65, ni retired civil servant. Najuwa mengi ila hiyo sijawahi kuisikia. Just respond politely without derogatory sentiments
Katafute kitabu kilichoandikwa na William Edgett Smith kinachoitwa We Must Run While They Walk kilimnukuu Mw. Nyerere akisema kama angeweza, angekisukuma kisiwa cha Zanzibar katikati ya bahari ya Hindi kwa kuhofia kuleta matatizo Tanganyika.
 
Back
Top Bottom