Mji Wa Kigamboni Warejeshwa Temeke

mji unaotaka kujengwa kigamboni ukajengwe kigoma,maana kikwete alisema kigoma itakuwa dubei
 

Wameshakula pesa ya waarabu na wachina. Unakumbuka JK alikwenda Oman akapewa zawadi lukuki na kusafirishwa kwa mkokoteni wa farasi. Halafu unakumbuka ile issue ya ritz kule china? Watu walishaweka chao mfukoni ndo maana Tibaijuka ana confidence sana
 
wakati mwengine viongozi wetu wanatufanya tuonekane wehu!60-100 years ago,our grandfathers chased colonialists out of AFRICA,they wanted our LAND,they wanted AFRICANS to decide what to do with our LAND,they wanted us to decide our fate.

fast forward a century later,we are selling what our grandparents lost their lives for,what those great men fought for.i can foresee 50 years later our grandchildren fighting for their independence again.Am glad my grand children will know where i stood.

I don't care how many high rises they will erect,how many plantations they will cultivate,how many FDI they will bring.I do no support this re-colonization of our dear land by colonialists and their puppets (Tibaijuka, Kikwete et al). These nitwits have witnessed DAR being one of the worst planned cities in the world,today they come out with the audacity to say they will create a modern kigamboni,why don't they go somewhere after pembamnazi and realize their dream,am sure they will only have bushes to navigate. No wonder Mtwara comrades are chasing them away and burning their puppet houses.
 

Serikali sasa wanatakiwa wakae chini wajipange vizuri kuiendesha nchi kwa manufaa ya wananchi na si kwa matakwa na manufaa ya kundi la watu fulani. Wasipokaa vizuri yaliyotekea Libya, Misri na Tunisia hayako mbali Tz kwa hali ilivyo sasa.
 
mji unaotakiwa kujengwa kigamboni ujengwe kigoma ujiji
 
Serikali sasa wanatakiwa wakae chini wajipange vizuri kuiendesha nchi kwa manufaa ya wananchi na si kwa matakwa na manufaa ya kundi la watu fulani. Wasipokaa vizuri yaliyotekea Libya, Misri na Tunisia hayako mbali Tz kwa hali ilivyo sasa.
serikali ya ccm haiwezi kujirekebisha,lamsingi ni kuondoka madarakani maana wana macho lakini hayaoni wana masikio lakini hawasikii wanamikono lakini haishiki wanamiguu lakini haitembei wala hawatoi sauti kupitia kwenye koo zao, hivyo hawafai tena kuongoza nchi hii
 
Hivi kwenye ahadi za Kikwete alisema Kigoma itakuwa Dubai au alikosea alikuwa anamaanisha Kigamboni ndyo itakuwa kama Dubai?
Ahadi nyingine zinachekesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…