Mjanja ndani ya kanisa..............

Mjanja ndani ya kanisa..............

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,342
Reaction score
2,528
Jamaa1 alikuwa amekaa KANISANI siti ya mwisho kabisa,ila pembeni yake kulikuwa
Kuna demu amekaa•Jamaa akaanza kutongoza dem huku mahubiri yakiendelea~
Mambo yalikuwa hiv=
Jamaa=Nakupenda mtot mzuri ntakupa kila ki2 utakachotaka•
BINTi=Sitaki ujinga wako
Jamaa=Hata maandiko yanasema mpende akupendae jamani•
Binti=Mbona ukuwa mgumu kuelewa kaka alafu apa tupo kanisani eeh•
Jamaa=Kazd kukomAa nambie unataka sh•ngp?? Nkupe
Binti= akamuu kupayuka kwa sauti"NIMESEMA SITAkI NIACHE"waumin wote wakageuka nyuma
Jamaa=nae kwa aibu akazuga kwa kupayuka na yy
"SIkUACHI MPAKA UOKOKE "hhha
Ety nan?Mjanja hapo??
 
Meeeen always wajanja bwana

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom