Mjane

Mjane

Mjane

Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
17
Reaction score
7
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

mkuu madame x umemuelewa vizr motoa maada?? Kama vp rudia tena kusoma
 
Last edited by a moderator:
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

pole sana bibie kaa utulize akili huyo dogo uliyenaye hajiamini jitahidi kuvumilia hali uliyonayo usipelekeshwe na tamaa za mwili tafuta mtu mzima anayejitambua na kujielewa hawa vijana wadogo mara nyingi wanachezea hisia za watu
 
Ungetulia kwanza maana bado unamachungu na ukifanya haraka kutafuta mtu utabaki unalia daima huyo kijana hakufai kama hakuamini na mmepima vp mambo mengine huko mbele ya safari?.mwombe mungu akupe wakufafanana na wewe. Pole ila kumbuka mungu anajua unahitaji mwenzi hvyo kazi kwako kuomba kwa bidii
 
Ungetulia kwanza maana bado unamachungu na ukifanya haraka kutafuta mtu utabaki unalia daima.mwombe mungu akupe wakufafanana na wewe. Pole ila kumbuka mungu anajua unahitaji mwenzi hvyo kazi kwako kuomba kwa bidii
Asante nashukuru
 
pole sana bibie kaa utulize akili huyo dogo uliyenaye hajiamini jitahidi kuvumilia hali uliyonayo usipelekeshwe na tamaa za mwili tafuta mtu mzima anayejitambua na kujielewa hawa vijana wadogo mara nyingi wanachezea hisia za watu
Nashukuru kwa ushauri
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

Umeamka na hangover au?? Mwenzio kafiwa na mmewe we unamwambia anatoka nje ya ndoa! Unataka akamegane na mmewe kaburini?
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Achana nae nitafute mimi, asitafute kisingizio km kusepa asepe tu aache ndarandinda nyingi! yeye mwenyewe anachepuka sana tu sema hujamstukia tu!
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best
Umekunywa nini?
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

samahani, kama hutajali we una umri gani?

Umeamua kutoolewa ukachagua kuwa mzinzi, unahisi huo ni uamuzi wa busara?

Kuna wanaume walishajitokeza kutaka kukuoa ukakataa au unajipa moyo hutaki kuolewa tena kwa kuwa tu wanaume wamelogwa ugonjwa wa kutooa mwanamke mwenye watoto?
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Yaani kwa uzoefu wote uliokuwa nao bado unashindwa kujua cha kufanya kwenye hili jambo?

Au uliolewa na miaka 16 na sasa una 23?
 
samahani, kama hutajali we una umri gani?

Umeamua kutoolewa ukachagua kuwa mzinzi, unahisi huo ni uamuzi wa busara?

Kuna wanaume walishajitokeza kutaka kukuoa ukakataa au unajipa moyo hutaki kuolewa tena kwa kuwa tu wanaume wamelogwa ugonjwa wa kutooa mwanamke mwenye watoto?

Babu kwa maneno yako haya ya busara nakuandalia kabinti kabichi kabisa kwaajili ya kuifanya Jumapili yako iwe bomba

Unajua hawa wanawake wanakuwa wanatembea na imani zao walizojilisha wenyewe
Sijui ni nani ambae amewaambia kuwa kila mwanaume hataki kuoa mwanamke mwenye watoto au mtoto

Naona hawa ni wa kutandika viboko kabisa!
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

Aiseee

Nyie ndio wale ambao hamsomi hata mada halafu mnakurupuka kuchangia

Halafu hata kichwa cha habari hujakiona?
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Mjane;
Sijui kama ni mimi tu nimeshindwa kukuelewa. Kwanza unajiita mjane, huku unasema hutaki kuolewa ila unataka kumlea mwanao, na sio peke yako bali pamoja na ndg zake marehemu mumeo unayesema ulimpenda sana atii.
Mahali sijakuelewa ni; huyu dogoo uliyemzidi umri katokea wapi tena? Si umesema hutaki kuolewa? Dogoo anatokea wapi? Si umesema hutaki kuolewa? Unataka kujilaza na kila dogoo??? Acha kabisa mambo hayo. Usiwafundishe vijana tabia ya kupenda "Used". Tulia au uwatangazie ukoo kuwa unataka mmoja wao akuridhi kama weye ni shamba.
Tengana na huo ukoo ukajikalie mahali pa peke yako uanze maisha mema si kuwasaidia vijana. Wao nao wana wasichana wazuri tu nao waanze nao ka weye ulivyo anza na marehemu.
hufai kubembelezwa kwani hujui hata unachokitaka.
 
Babu kwa maneno yako haya ya busara nakuandalia kabinti kabichi kabisa kwaajili ya kuifanya Jumapili yako iwe bomba

Unajua hawa wanawake wanakuwa wanatembea na imani zao walizojilisha wenyewe
Sijui ni nani ambae amewaambia kuwa kila mwanaume hataki kuoa mwanamke mwenye watoto au mtoto

Naona hawa ni wa kutandika viboko kabisa!

Yani tangu nizaliwe sijawahi kuona mtu anayemwaga mapoint kama wewe siku za jumapili. Hako kabinti kaambie kaje without kabisa ili kutopoteza muda.
 
Mjane;
Sijui kama ni mimi tu nimeshindwa kukuelewa. Kwanza unajiita mjane, huku unasema hutaki kuolewa ila unataka kumlea mwanao, na sio peke yako bali pamoja na ndg zake marehemu mumeo unayesema ulimpenda sana atii.
Mahali sijakuelewa ni; huyu dogoo uliyemzidi umri katokea wapi tena? Si umesema hutaki kuolewa? Dogoo anatokea wapi? Si umesema hutaki kuolewa? Unataka kujilaza na kila dogoo??? Acha kabisa mambo hayo. Usiwafundishe vijana tabia ya kupenda "Used". Tulia au uwatangazie ukoo kuwa unataka mmoja wao akuridhi kama weye ni shamba.
Tengana na huo ukoo ukajikalie mahali pa peke yako uanze maisha mema si kuwasaidia vijana. Wao nao wana wasichana wazuri tu nao waanze nao ka weye ulivyo anza na marehemu.
hufai kubembelezwa kwani hujui hata unachokitaka.

Na yeye ni binadamu anahisia kama wewe, fikiria kama ungelikuwa wewe ulizoea kugegedana kila unapohitaji zen unakaa miaka 2 dry,
Sema kosa lake ni kujifanya hataki kuolewa kumbe kila wakati anaolewa, huo ni unafiki, kwa mwenye akili hakuna atakaekushangaa ila kuwa makini kama unauwezo unaweza ukaleta matatzo ukizan umependa kumbe wamependa vhela vyako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom