malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habar wakuu ushauri wenu..mke wangu ana ujauzito wa miezi 8 na siku20 majuzi kaenda kaenda clinic ktk hospital ya mission ya wakatoliki kuangaliwa Hali yake...kapimwa ultra sound mtoto Yuko sawa natayar kupimwa damu Iko kidogo akaandikwa dawa..ila Sasa changamoto ya hii hospital ni wakat wakujifungua huwa wanakauzembe sana