Mjamzito kumnyima mpenziwe tendo la ndoa

Mjamzito kumnyima mpenziwe tendo la ndoa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,283
Reaction score
55,897
Kwa nini miezi ya mwanzo katika ujauzito,wanawake wetu wanakuwa wanasumbua sana kumpa penzi mwenzi wake?Huwa wanafanya makusudi au ni kutokana na hali waliyo nayo?Tatizo huwa ni nini?
 
Sijawah experience hii kitu na wala sifahamu Kwan ni kwel kwa wote au umechukua sample ya wachache
 
Back
Top Bottom