TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Mtama

Aug 9, 2016
13
67
Mradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Mtama chini ya Uongozi wa Mbunge, Mheshimwa Nape Nnauye Nape Nnauye


Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi zisizopungua 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Mtama.

TUSHIRIKISHANE – AHADI ZA MBUNGE
MTAMA

a. Kushawishi upatikanaji wa Wilaya mpya ya Mtama

b. Kusimamia uboreshaji wa huduma za afya pamoja kukipandisha kituo cha afya

c. Kuhakikisha mradi mkubwa wa kusambaza maji Jimboni unaanza.

d. Kusimamia upasuaji wa barabara zinazounganisha kata moja na nyingine, usambazaji wa miundombinu na kuhakikisha Jimbo zima lina umeme wa uhakika.

Mada hii itatumika zaidi na Wana Mtama kutupa taarifa.


WhatsApp Image 2017-01-12 at 10.19.47.jpeg

Washiriki wa Warsha ya Tushirikishane Mtama katika picha ya pamoja na timu ya Jamii Media baada ya kumalizika kwa warsha ya siku tatu ya mradi huo.


Baadhi ya Washiriki watakuwa:

1. Mh. Mbunge Nape Nnauye
2. Afisa habari Mtama
3. Washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Mtama.

Karibuni.

Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"

========

Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:

Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos

Tushirikishane | Facebook

Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
 
Tushirikishane kule Bukoba kwetu tangu mtoke August last year hakuna kilichofanyika, kila la kheri kwa Mtama
 
Akumbuke alikopita hadi kufika hapo alipo. Wananchi hawa si wale wa zama 1980's
 
HIVI Tushirikishane MTAMA KUMESHAKUWA NA WABUNGE WANGAPI?

KWANINI KILA MWAKA TATIZO NI MAJI NA AFYA?

NI MBUNGE YUPI ATAYEWEZA KUTATUA MATATIZO HAYA?

HIVI WANANCHI WA MTAMA HAWAJIULIZI HAYO MASWALI?

SASA TUNATAKA Nape Nnauye AWAELEZE ANAMPANGO GANI NA MTAMA? NINI ANATAKA KUFANYA NA KWA MUDA GANI?

HIZI HADITHI ZA MAJI NA AFYA ZINACHOSHA SASA? KILA UCHAGUZI NI MAJI NA AFYA LINI YATAPATIWA UFUMBUZI WA KUDUMU?

TUNATAKA KUONGELEA AJIRA, UCHUMI, SAYANSI NA TEKNOLOGIA, MAZINGIRA, UJASILIAMALI NA MIUNDO MBINU.

N.B: MAJI, MAKAZI, UMEME NA AFYA SIYO MAENDELEO NI MAHITAJI YA MSINGI KWA MWANADAMU
 
HIVI Tushirikishane MTAMA KUMESHAKUWA NA WABUNGE WANGAPI?

KWANINI KILA MWAKA TATIZO NI MAJI NA AFYA?

NI MBUNGE YUPI ATAYEWEZA KUTATUA MATATIZO HAYA?

HIVI WANANCHI WA MTAMA HAWAJIULIZI HAYO MASWALI?

SASA TUNATAKA Nape Nnauye AWAELEZE ANAMPANGO GANI NA MTAMA? NINI ANATAKA KUFANYA NA KWA MUDA GANI?

HIZI HADITHI ZA MAJI NA AFYA ZINACHOSHA SASA? KILA UCHAGUZI NI MAJI NA AFYA LINI YATAPATIWA UFUMBUZI WA KUDUMU?

TUNATAKA KUONGELEA AJIRA, UCHUMI, SAYANSI NA TEKNOLOGIA, MAZINGIRA, UJASILIAMALI NA MIUNDO MBINU.

N.B: MAJI, MAKAZI, UMEME NA AFYA SIYO MAENDELEO NI MAHITAJI YA MSINGI KWA MWANADAMU
Nadhani matatizo haya yanatumiwa kama mtaji na wanasiasa. Lakini nina imani Tushirikishane watasaidia wananchi kupush wabunge wao ili matatizo haya yatatuliwe for good
 
Mradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Mtama chini ya Uongozi wa Mbunge, Mheshimwa Nape Nnauye Nape Nnauye


Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi zisizopungua 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Mtama.

TUSHIRIKISHANE – AHADI ZA MBUNGE
MTAMA

a. Kushawishi upatikanaji wa Wilaya mpya ya Mtama

b. Kusimamia uboreshaji wa huduma za afya pamoja kukipandisha kituo cha afya

c. Kuhakikisha mradi mkubwa wa kusambaza maji Jimboni unaanza.

d. Kusimamia upasuaji wa barabara zinazounganisha kata moja na nyingine, usambazaji wa miundombinu na kuhakikisha Jimbo zima lina umeme wa uhakika.

Mada hii itatumika zaidi na Wana Mtama kutupa taarifa.


View attachment 458800
Washiriki wa Warsha ya Tushirikishane Mtama katika picha ya pamoja na timu ya Jamii Media baada ya kumalizika kwa warsha ya siku tatu ya mradi huo.


Baadhi ya Washiriki watakuwa:

1. Mh. Mbunge Nape Nnauye
2. Afisa habari Mtama
3. Washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Mtama.

Karibuni.

[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] #Mtama

Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"

========

Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:

Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos

Tushirikishane | Facebook

Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
Kumbe mnapenda kutumia jamiiforum eeeh..na mnapotaka kuifungia hizi habari mtaziloea wapi?...
 
Sasa wana mtama kweli lile jengo hospital ndio milioni arobaini, nimecheka sana ajabu Mh Waziri nape naye anamuongopea Rais, sema Rais akasoma mchezo ikabidi aende angalia oneni sasa aibu Rais amekataa kukubali lile jengo ni milioni arobaini

Kituko kingine nimemshangaa Mbunge wenu Rais anamwambia utachangia kiasi gani tumalizie jengo anasema milioni tatu haaa haaa haaa kweli maana mpaka Rais akahoji pesa za mfuko wa Jimbo zipo wapi haaa haaa mtama ebu badilikeni bwana
 
Sasa wana mtama kweli lile jengo hospital ndio milioni arobaini, nimecheka sana ajabu Mh Waziri nape naye anamuongopea Rais, sema Rais akasoma mchezo ikabidi aende angalia oneni sasa aibu Rais amekataa kukubali lile jengo ni milioni arobaini

Kituko kingine nimemshangaa Mbunge wenu Rais anamwambia utachangia kiasi gani tumalizie jengo anasema milioni tatu haaa haaa haaa kweli maana mpaka Rais akahoji pesa za mfuko wa Jimbo zipo wapi haaa haaa mtama ebu badilikeni bwana
Mhurumie kidogo bwana Nape mkuu...tehteh
 
nyangao kuna mto lakn maji hakuna watu wanajihimu asubuhi sana kuchota maji mtoni kabla ya wahuni hawajaanza kuyanyea na kufulia yaani ni shida sana.
 
Back
Top Bottom