mwankuga
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 334
- 120
Mjadalwa Katiba unaendelea wadau.
Muda wowote Rais Jakaya Kikwete atatangaza majina ya wajumbe watakaounda Tume ya Katiba itakayoshughulika na kukusanya maoni na kuandaa rasimu ya Katiba.Je,nani unependa awepo kwenye tume hiyo na kwanini?
Mimi nawapendekeza Prof.Issa Shivji na Prof.Kabudi Paramagamba (wote ni wabobezi katika mambo ya sheria na katiba,na naona wanauzalendo tofauti na wasomi wengi ambao ni wachumia tumbo).Maoni yako ni muhimu.
Muda wowote Rais Jakaya Kikwete atatangaza majina ya wajumbe watakaounda Tume ya Katiba itakayoshughulika na kukusanya maoni na kuandaa rasimu ya Katiba.Je,nani unependa awepo kwenye tume hiyo na kwanini?
Mimi nawapendekeza Prof.Issa Shivji na Prof.Kabudi Paramagamba (wote ni wabobezi katika mambo ya sheria na katiba,na naona wanauzalendo tofauti na wasomi wengi ambao ni wachumia tumbo).Maoni yako ni muhimu.