kengele maziwa JF-Expert Member Joined Jun 1, 2015 Posts 435 Reaction score 650 Dec 18, 2017 #41 Mkuu ungeoa usingepata shida hiyo mkeo ndo angeenda sokoni kaka but all in all hii chai ya maziwa
F farajamlenga Member Joined Dec 8, 2017 Posts 46 Reaction score 45 Dec 18, 2017 #42 mzee74 said: Mi jana nimepigwa mzinga wa buku 60. Mademu malofa sana! Click to expand... Mkiombwa pesa mnawapa wenyewe halafu mnakuja kuwatukana jamii forum
mzee74 said: Mi jana nimepigwa mzinga wa buku 60. Mademu malofa sana! Click to expand... Mkiombwa pesa mnawapa wenyewe halafu mnakuja kuwatukana jamii forum
F farajamlenga Member Joined Dec 8, 2017 Posts 46 Reaction score 45 Dec 18, 2017 #43 rikiboy said: Daah juzi nimepigwaa mzinga wa 20 dadekii afuu leo yule manzi analeta nyodooo...!! Falaa sanaaa yuleeee.... Wanawakee wotee malayaaa tuu.. Click to expand... Tabia mbaya kuwatukana wanawake wote kwa kosa la mwanamke mmoja
rikiboy said: Daah juzi nimepigwaa mzinga wa 20 dadekii afuu leo yule manzi analeta nyodooo...!! Falaa sanaaa yuleeee.... Wanawakee wotee malayaaa tuu.. Click to expand... Tabia mbaya kuwatukana wanawake wote kwa kosa la mwanamke mmoja
mito JF-Expert Member Joined Jun 20, 2011 Posts 10,811 Reaction score 11,028 Dec 18, 2017 #44 mzee74 said: Tongoza mademu wa kishua. Madem choka mbaya ni majanga. Click to expand... Mmh wote wale wale..... Ila nimecheka sana uzi huu
mzee74 said: Tongoza mademu wa kishua. Madem choka mbaya ni majanga. Click to expand... Mmh wote wale wale..... Ila nimecheka sana uzi huu
NAKEMBETWA JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 3,517 Reaction score 3,139 Dec 18, 2017 #45 rikiboy said: Haa ha ha...umetoa mkuu!??? Daah kazi ipooo mpaka.naogopa kutongozaa hada wadada wazuriii Click to expand... Me huwa najiuliza hiv kabla hujamtongoza alikuwa anaishije? Maana ukishakuwa nae mizinga inafululiza
rikiboy said: Haa ha ha...umetoa mkuu!??? Daah kazi ipooo mpaka.naogopa kutongozaa hada wadada wazuriii Click to expand... Me huwa najiuliza hiv kabla hujamtongoza alikuwa anaishije? Maana ukishakuwa nae mizinga inafululiza
N Nilea Member Joined Dec 12, 2017 Posts 36 Reaction score 68 Dec 18, 2017 #46 kwa hiyo ulikuwa unamkopa leo ameamua kujilipa kwa nguvu
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Dec 18, 2017 #47 uwepo said: Ndo maana nasema wanaume wote tushaenda peponi imebaki kunyakuliwa tu Click to expand... hahahah!! amina boss!
uwepo said: Ndo maana nasema wanaume wote tushaenda peponi imebaki kunyakuliwa tu Click to expand... hahahah!! amina boss!
rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 22,164 Reaction score 43,858 Dec 18, 2017 #48 mito said: Mmh wote wale wale..... Ila nimecheka sana uzi huu Click to expand... Me nlimtongozaa demu dogo alinambia wa kishuaa... eehe baada ya week nkasikiaa Beib naomba hela ya nywelee..!! Kama nlirudi tenaaa..
mito said: Mmh wote wale wale..... Ila nimecheka sana uzi huu Click to expand... Me nlimtongozaa demu dogo alinambia wa kishuaa... eehe baada ya week nkasikiaa Beib naomba hela ya nywelee..!! Kama nlirudi tenaaa..
Al assad JF-Expert Member Joined Aug 14, 2017 Posts 1,404 Reaction score 1,517 Dec 19, 2017 #49 Aisee !