Mizinga 6 ya nyuki kutoka Tabora inauzwa

Na hili ndilo tarizo letu watz ndio maana hatuendelei. Sasa sijui ni education system yetu au ni malezi, sielewi. Mindset hii ndio inarudisha nyuma sisi watz.

Mtu anadhani kila mtu anaweza fanya kila kitu ndo mindset hii inaleta watu wanaodhani wanajua kila kitu. Ukisema unaumwa kichwa utasikia hiyo maleria, mwingine aah hiyo typhoid yaani hakuna mtu aseme unajua hatujui labda uende hospitali upime uambiwe ni nini. Kuumwa kichwa ni dalili ya magonjwa tofauti tofauti.

Nimeeleza huo mfano wa ugonjwa kuelezea km mfano ktk comment yako. Mi ni fundi naunda mizinga, ndio kazi yangu, wengine watafuga, wengine watakuwa kazi y ni kuuza asali, wengone watakuwa kutumia. Hatuwezi wote fanya kila kitu

Nadhani utakuwa umepata chochote.

Stick with what you know
Tatizo Ni hizo hesabu za MAGAZIJUTO kwenye mavuno ya asali hakuna uhalisia....inapotosha!
 
Unajua mtu ukieleza hizi takwimu kuna watu wanadhani ni story au nn. Kila mtu afanye reseach yake mwenyewe kwa wafugaji nk, Tembeleeni wafugaji wa kisasa mjionee wenyewe. Sie wengine watengeneza mizinga lkn pitieni wakulima mjionee watu wanavyotajirika msidhani hizi figures za kupika
Kwafaida hiyo kwa nini na wewe usitengeneze ya kwako ukafuga? Kwa kupata hiyo hela unahitaji kutengeza mizinga zaidi ya 500 ili upate milioni 48
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom