We wa kusomwa unatufutwa na mods,pili usipende kutoa povu mda wote jaribu kumuelimisha kwanza,mbona miziki ya bongo huwa wana upload kina Dj choka na D7 kwenye web zao na kuna baadhi wanatoa bure kwa promo only,sasa huo wizi umetoka wapi? Utaratibu wa kuuza cngle uku kwetu bado msanii anatoa wimbo anauachia free watu wausikilize waupende waurequest kwenye maredio then mapromota na watangazaji waone kwamba anapata requests zen wafanye nae dili
mkuu kama unatumia computer unaweza kudownload IDM downloader,halafu ukifungua blogs kama za dj choka,global publisher ukicheza wimbo click pale kwa IDM utaona inadownload yenyewe
mkuu kama unatumia computer unaweza kudownload IDM downloader,halafu ukifungua blogs kama za dj choka,global publisher ukicheza wimbo click pale kwa IDM utaona inadownload yenyewe
mkuu kama unatumia computer unaweza kudownload IDM downloader,halafu ukifungua blogs kama za dj choka,global publisher ukicheza wimbo click pale kwa IDM utaona inadownload yenyewe