huenda pia anataka kutoa tangazo kupitia M-PESAPamoja na mambo yake mengine but huyu Mzee naona anazeeka wka hekima aiseee, natamani na mimi nije kuwa na uzee wa dizaini yake. Hapo ujue ameshauza mahindi au asali anasubiria malipo yake toka kwa mteja. au anasubiri muamala akanunue sukari?? Hivi huyu Cameraman wake ni nani?
atauza balaaa, si unakumbuka aliwahi kuvalishwa Fulani nadhani ya Tusker au Safari kwenye maadhimisho flani hivihue
huenda pia anataka kutoa tangazo kupitia M-PESA
Ilikuaga humu ndani muda sana na ilizua gumzo hahahahaha ngoja nijaribu kui-googleduh siikumbuki hiyo nakumbuka za mei mosi na mwenge tu...tupia kama unayo
kila mtu na jicho lakeMdada anatumia mkono wa kushoto.