hahahahha kitu cha bombadier
Bila reverse, nyumbani hufikiSiku moja nimemix Konyagi na St.Anna afu nikafuta zote,kulichofata hapo ilikua ni mwendo wa mbili mbele nane nyuma
Bila reverse, nyumbani hufiki
Sasa kama mbili mbele, nane nyuma,hahahahah reverse ya namna gan hyo hahha nimechrka sana aic
Sasa kama mbili mbele, nane nyuma,
Ili ufuke uendako lazima ugeuke (reverse)
Namna hio,teh teh
Naona unaifuatilia sana hii mada. Hapo kwenye avatar ni konyagi na nini?hahaha haya
Naona unaifuatilia sana hii mada. Hapo kwenye avatar ni konyagi na nini?
Niliwahi kunywa moja inaitwa " sex on the beach". Iko poa sana lakini so expensive..bora BALIMI yanguhahahahahha hamna alafu mie sipo kwenye unywaj wala ulev! hap ni cocktail ya alcohol inaitwa sunrise! very sweet ila inachukua balaa! suijui wanamix tequila na manini nini nazipendaga cz zinamixiwa na fresh juice yaan soo romantic
Niliwahi kunywa moja inaitwa " sex on the beach". Iko poa sana lakini so expensive..bora BALIMI yangu