Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,227
Vyote tumekosa,miundombinu hovyo na ajira hakuna..Munataka miundombinu au ajira mbona hanueleweki.
Ni heri hali hii ikashughulikiwa.Vyote tumekosa,miundombinu hovyo na ajira hakuna..
Umeshikiwa akili au? Mbona watu wengibe akili hamnaMunataka miundombinu au ajira mbona hanueleweki.
Wewe ndio waona Miundombinu imepitwa na wakati.View attachment 1599656
View attachment 1599657
View attachment 1599659
Morogoro Road
View attachment 1599662
Jangwani
Picha chache kuonyesha yaliyotokea jana yanadhihirisha kuwa kuna sehemu tumelala.
Mvua hiyo kubwa inaelekea imeonyesha udhaifu mkubwa wa miundombinu ya maji jijini Dar es salaam.
Kwa miongo ya miaka, Halmashauri za Jiji na Serikali kuu zimeendelea kupuuzia namna ya kuijenga na kuihudumia kwa matengenezo ya mara kwa mara miundo mbinu ya Jji hili la DSM.
Mto Msimbazi pamoja na ukaribu wake baharini akini hakuna kabisamtaalam wala mwanasiasa anyefikiria kuuchimba mto huu ili uweze kuhimili sehemu kubwa ya maji ya mvua ya Jiji la DSM.
Wenzetu wazungu, kwa aibu inabidi tuwarejee maana sisi pamoja na kuwa na Planners, wahandis wazuri, lakini uwezo wao wa kufikiri ni kufikia tu ukurugenzi na kupnda ma V8 na hawana wanaofikiria zaidiya hapo.
Wazungu kwao mito yote iliyopitia katikati ya Jiji, inakuwa ndio kupona kwa Jiji, iwe London-Thames, Washington-Potomac, Japan, Misri, Khartoum na kwingineko.
Sisi wataalam wetu wamelaniwa?
Kwa nini hawchukui hatua mahsusi ya kurasimisha njia za maji kisheria na ili iweze kuhudumiwakama barabara zinazopewa umuhimu?
This cant go on!!
Hali hii haiwezi kuendelea kama nusiness as usual.
Hii ni hatua katika kuifikisha bahari ya hindi dodomaKwa hali hii sijui itakuwaje miaka mitano baadaye, bahari itahamia mjini.
Picha tafadhali!Mafuriko yalipotokea kule London na jiji lote la London kuwa chini ya maji hamkusema miundombinu imepitwa na wakati, bali mlisema mvua iliyonyesha ni kubwa mno...
1km/hr?Wewe ndio waona Miundombinu imepitwa na wakati.
Alieijenga anajisifia nayo kias cha kutaka tumchague tena. Mimi kwa Miundombinu hii hii ya Bwana Jiwe jana nimetumia masaa 10 kutembea umbali wa km10.
Yaani mathematically ni speed ya 1km/hr nikiwa kwenye gari.
Tatizo watu wanafikiria barabara tu, hawafikirii juu ya Drainage System Management(DSM).View attachment 1599656
View attachment 1599657
View attachment 1599659
Morogoro Road
View attachment 1599662
Jangwani
Picha chache kuonyesha yaliyotokea jana yanadhihirisha kuwa kuna sehemu tumelala.
Mvua hiyo kubwa inaelekea imeonyesha udhaifu mkubwa wa miundombinu ya maji jijini Dar es salaam.
Kwa miongo ya miaka, Halmashauri za Jiji na Serikali kuu zimeendelea kupuuzia namna ya kuijenga na kuihudumia kwa matengenezo ya mara kwa mara miundo mbinu ya Jji hili la DSM.
Mto Msimbazi pamoja na ukaribu wake baharini akini hakuna kabisamtaalam wala mwanasiasa anyefikiria kuuchimba mto huu ili uweze kuhimili sehemu kubwa ya maji ya mvua ya Jiji la DSM.
Wenzetu wazungu, kwa aibu inabidi tuwarejee maana sisi pamoja na kuwa na Planners, wahandis wazuri, lakini uwezo wao wa kufikiri ni kufikia tu ukurugenzi na kupnda ma V8 na hawana wanaofikiria zaidiya hapo.
Wazungu kwao mito yote iliyopitia katikati ya Jiji, inakuwa ndio kupona kwa Jiji, iwe London-Thames, Washington-Potomac, Japan, Misri, Khartoum na kwingineko.
Sisi wataalam wetu wamelaniwa?
Kwa nini hawchukui hatua mahsusi ya kurasimisha njia za maji kisheria na ili iweze kuhudumiwakama barabara zinazopewa umuhimu?
This cant go on!!
Hali hii haiwezi kuendelea kama nusiness as usual.