Wadau Salaam!
Wadau, member mwenzenu macho yameshaanza kuwa mekundu kwa ajili ya kupuliza mkaa na sasa nataka ku-shift na kutumia jiko la gesi. Hata hivyo, kuna machache naomba kufahamu.
1. Kama hauna mtungi tupu wa gesi, je; hizi sales outlets wanaweza kukuuzia mtungi wenye gesi plus gharama ya mtungi?
2. Kama hawatoi hiyo huduma, ni namna gani na wapi naweza kupata mtungu tupu.
NB: Mtungi ninaohitaji ni ule wa size ya kati; kama sikosei ni 15Kg na uwe Oryx.
Wadau, member mwenzenu macho yameshaanza kuwa mekundu kwa ajili ya kupuliza mkaa na sasa nataka ku-shift na kutumia jiko la gesi. Hata hivyo, kuna machache naomba kufahamu.
1. Kama hauna mtungi tupu wa gesi, je; hizi sales outlets wanaweza kukuuzia mtungi wenye gesi plus gharama ya mtungi?
2. Kama hawatoi hiyo huduma, ni namna gani na wapi naweza kupata mtungu tupu.
NB: Mtungi ninaohitaji ni ule wa size ya kati; kama sikosei ni 15Kg na uwe Oryx.