NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Milipuko iliyosikika leo alfajiri ni mitungi ya gesi ambayo imelipuka na kujeruhi baadhi ya walinzi na wapita njia. kutokana na mueleko wa upepo inasemakana maeneo yatakayoathirika zaidi endapo isipothibitiwa ni Mbagala.
Kama kuna wanaofaatilia habari hii kwa undani tunaomba michango yenu, je ni uzembe kama ule wa mabomu au ni ajali ya kawaida??
Kama kuna wanaofaatilia habari hii kwa undani tunaomba michango yenu, je ni uzembe kama ule wa mabomu au ni ajali ya kawaida??