ukipata leta mrejesho nasi tujifunze. zingatia taarifa mahsusi: hali ya duka la muuzaji, lugha yake (ukarimu), maelezo nacelimu yake kwako juu ya biashara husika, viwango vya ubora wa bidhaa, bei zake, usafiri, faida uliyopata vs ulivyotarajia, je kuna ulazima wa kusafiri hadi dar kuchukua mzigo/ hakuna uwezekano wa kutumiwa, changamoto, funzo lako juu ya mradi huo, ushauri wako kwa vijana na kundirika wanaoogopa kuthubutu kujaribu biashara. hakika JF haijawahi kuwa na choyo; naamini utatusaidia