Mitt Romney akalia kuti kavu GOP baada ya Usaliti, hata USA usaliti not allowed!

Hawezi kufukuzwa chamani. US sio shithole country, hizo ni siasa tu.

Kwenye uchaguzi wa Marekani 2008 Collins Powel na Condolezza Rice pamoja na kuwa Republicans lkn walimuunga mkono Obama na hawakufukuzwa chamani.

Hii inaitwa, "A highly developed democracy", wanaheshimu mawazo ya mtu tofauti na huku uswahilini ambapo woote mnatakiwa kuwa na philosophy ya Manyumbu.
Aisee...
 
Mitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...


If or when he runs as an independent the GOP will be caught sans pants!
 
Nadhani neno USALITI na matumizi yake ndo kinachotusumbua.Sisi neno usaliti limejumuisha kila kitu kuanzia biashara, siasa hadi mapenzi wakati kwenye kingereza kidogo hili neno lina maneno tofauti tofauti kulingana na matumizi au mazingira.Kwaiyo mimi naona alichofanya Romney ni betrayal nasio treason na hilo sio kosa.na pia hiyo inaonyesha ni jinsi gani wenzetu wanavyojitahidi kua huru kwenye maamuzi binafsi tofauti na uku kwetu ambako maamuzi ya chama au mawazo na maamuzi ya kiongozi niyakuitikia tu.
 
Back
Top Bottom