N nyangindo JF-Expert Member Joined Jan 3, 2018 Posts 366 Reaction score 339 Jun 20, 2022 #21 stevhinoz said: Kama ni mitihani inayoandaliwa kupima wanafunzi inauaje elimu? Ebu jazia nyama kidogo mwanafunzi akipewa mtihani inaathili vipi uwezo wake kitaaluma? Click to expand... Na hasa ukizingatia kuwa anajaribiwa ktk masomo ambayo ameshafundishwa yaani kwa kuzingatia syllabus,sijui anataka iweje au wasijaribiwe kabla mitihani ya mwisho?
stevhinoz said: Kama ni mitihani inayoandaliwa kupima wanafunzi inauaje elimu? Ebu jazia nyama kidogo mwanafunzi akipewa mtihani inaathili vipi uwezo wake kitaaluma? Click to expand... Na hasa ukizingatia kuwa anajaribiwa ktk masomo ambayo ameshafundishwa yaani kwa kuzingatia syllabus,sijui anataka iweje au wasijaribiwe kabla mitihani ya mwisho?
emavalery JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 628 Reaction score 1,252 Jun 20, 2022 #22 Shark said: Mitihani ya sets unamaanisha nini Click to expand... Swali zuri, kwa maelezo yake anaeleweka na walimu tu.
Shark said: Mitihani ya sets unamaanisha nini Click to expand... Swali zuri, kwa maelezo yake anaeleweka na walimu tu.
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 8,507 Reaction score 15,087 Jun 20, 2022 #23 Umendika huku unatetemeka kwa jazba na hofu, tulia kunywa maji, halafu fafanua hoja zako