Ni Kitu kisichowezekana kisheria, mtihani unarudiwa kusahihishwa tu kama mtahiniwa amekataa rufaa na ametimiza vigezo hivyo ikiwepo kulipia na kujaza form(s)... otherwise maamuzi ya KISIASA yafanyike tu kwa UJINGA wakutaka kuwaridhisha wajinga wanaodhani WAMEFAULU wakati WAFELI...
Umedanganywa kama na wewe ni sehemu ya hao Zombie, sahau sio kwa Tanzania, bajeti ya kazi kama hiyo haipo, na kama wakirudia itakuwa mbaya zaidi kwasababu wanaofundisha na wanaosahihisha ni hao hao ambao hawajaboreshewa mishahara, miundombinu ya kufanyia kazi, vifaa vya kufundishia (vitabu) na mengine mengi kinachopelekea wao kushindwa kufanya kazi ipasavyo wakati Waziri na watendaji wakuu wengine wakifaidi mihela na marupurupu kibao.
kazi ilifanyika vizuri ya usahihishaji hatuna wasiwasi na waliofanya kazi hiyo
hayo ndio matokeo kama mwanafunzi ana wasiwasi basi aende akakate rufaa
baraza ili asahihishiwe vinginevyo hakuna kitu wanafunzi wanaelewa walichofanya
hayo ndio matokeo yao.
Gharama ya kulipia ada ya mtihani ni Tsh 35000/-x kwa idadi ya wanafunzi waliofeli
Serikali hii itapata wapi pesa ona Bunge la Bajeti
limesogezwa mwezi wa nne badala ya wa saba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.