msomi kweli
Member
- Feb 8, 2012
- 31
- 18
Leo ndio siku yangu ya kwanza kuandika uzi hapa Jamii Forum, hasa hapa kwenye jukwaa la elimu. Jamani naomba msaada wa kuniondolea hiki kinacho nisibu kwa muda mrefu. Eti kwa nini BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA haliwarudishii wanafunzi mitihani yao mara tu baada ya kusahihishwa? Naomba mnisaidie wadau nini tatizo au kuna nini kinachofichwa ambacho mwanafunzi aliesahihishiwa hatakiwi kukiona? Je mimi kama raia wa Tanzania nataka kulibarisha hili swala natakiwa nifate utaratibu gani kikatiba? nisaidieni wadau