Mitihani iliosahihishwa

msomi kweli

Member
Feb 8, 2012
31
18
Leo ndio siku yangu ya kwanza kuandika uzi hapa Jamii Forum, hasa hapa kwenye jukwaa la elimu. Jamani naomba msaada wa kuniondolea hiki kinacho nisibu kwa muda mrefu. Eti kwa nini BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA haliwarudishii wanafunzi mitihani yao mara tu baada ya kusahihishwa? Naomba mnisaidie wadau nini tatizo au kuna nini kinachofichwa ambacho mwanafunzi aliesahihishiwa hatakiwi kukiona? Je mimi kama raia wa Tanzania nataka kulibarisha hili swala natakiwa nifate utaratibu gani kikatiba? nisaidieni wadau
 
msomi kweli kweli wewe,
kwanza kabisa si kazi rahisi kuirudisha mitiha hii mashuleni as yote hukusanywa na kusahihishiwa eneo moja, gharama ya kurudisha vituon ni kubwa na pia haina maana manake mtahiniwa unamkuta wapi tena?

pia itakuwa na maana gani tena kwa mtahiniwa husika? mnake nafikiri tufanye jambo tukiwa na mantiki nyuma yake. haina mantiki yyte ile kuirudisha kama tu leaving certificate wapo wasio zifuata sembuse mitihani ilo kwisha fanywa na mtu akavuka hiyo stage?

kama unamalalamiko juu ya usahihishaji wa mtihan wako nenda ka appeal baraaza watauhakiki ka kusahihisha upya.
 
Last edited by a moderator:
mkuu sizani kama kunaumuhimu wakurudisha hiyo mitihani, maana hata watahiniwa wenyewe sidhani kama wataenda ichukua hata wakienda wataifanyia nini??
pia hili litzepusha mambo mengi kama vile
1. gharama za usafirishaji wa scripts
2. inawezekana mwalimu alifundisha ndivyo sivyo leo umekosa swali mija tu likakusababishia ukose pass mark huyo mwalimu mmtachukuliaje??
3.marumbano baina ya wasahihishaji na watahiniwa.

pia kama unahitaji karatasi zako nenda NECTA watakupatia
 
Gharamaaa? Walimu wamefundisha vibaya? Jamani hebu tuzidi kufungua bongo zetu... WAKUU
mkuu sizani kama kunaumuhimu wakurudisha hiyo mitihani, maana hata watahiniwa wenyewe sidhani kama wataenda ichukua hata wakienda wataifanyia nini??
pia hili litzepusha mambo mengi kama vile
1. gharama za usafirishaji wa scripts
2. inawezekana mwalimu alifundisha ndivyo sivyo leo umekosa swali mija tu likakusababishia ukose pass mark huyo mwalimu mmtachukuliaje??
3.marumbano baina ya wasahihishaji na watahiniwa.

pia kama unahitaji karatasi zako nenda NECTA watakupatia
 
hiki ndicho kinacho sababisha Tanzania kukosa maendeleo kila mtu amelishwa kitu kile kile kwenye sector zile zile. HIVI KWELI HAKUNA MAANA KWA mwanafunzi wa sekondari kurudishiwa mitihani yake? kweli?
msomi kweli kweli wewe,
kwanza kabisa si kazi rahisi kuirudisha mitiha hii mashuleni as yote hukusanywa na kusahihishiwa eneo moja, gharama ya kurudisha vituon ni kubwa na pia haina maana manake mtahiniwa unamkuta wapi tena?

pia itakuwa na maana gani tena kwa mtahiniwa husika? mnake nafikiri tufanye jambo tukiwa na mantiki nyuma yake. haina mantiki yyte ile kuirudisha kama tu leaving certificate wapo wasio zifuata sembuse mitihani ilo kwisha fanywa na mtu akavuka hiyo stage?

kama unamalalamiko juu ya usahihishaji wa mtihan wako nenda ka appeal baraaza watauhakiki ka kusahihisha upya.
 
Mkuu rombo kwa chuoni sawa kwa sababui mara nyingi chuoni muhura ukipita basi zile mada huwa hazijirudii lakini jaribu kufikiria huku chini A/level na O level vitu ni vile vile. Iangalie hiyo Mkuu
mkuu hata vyioni mitihani ya kufunga chuo huwa hairudishwii
 
Gharamaaa? Walimu wamefundisha vibaya? Jamani hebu tuzidi kufungua bongo zetu... WAKUU

mkuu unaona kusafiriaha mitihani ni kazi ndogo sanaeee?? mimi wilayi kwetu kuna shule za secondary zaidi ya 50, zingine ziko ndani ya vijiji kabisa leo unasema usafiri sio shida?? ukiambiwa ulipie elf 20 ili mitihani yako irudishwe utatoa?? hata kama jibu ni ndio hiyo ni kwako!!
 
Mkuu rombo kwa chuoni sawa kwa sababui mara nyingi chuoni muhura ukipita basi zile mada huwa hazijirudii lakini jaribu kufikiria huku chini A/level na O level vitu ni vile vile. Iangalie hiyo Mkuu

kwani mkuu ukimaliza A-Level hayo masomo utayarudia??
 
msomi kweli kweli wewe,
kwanza kabisa si kazi rahisi kuirudisha mitiha hii mashuleni as yote hukusanywa na kusahihishiwa eneo moja, gharama ya kurudisha vituon ni kubwa na pia haina maana manake mtahiniwa unamkuta wapi tena?

pia itakuwa na maana gani tena kwa mtahiniwa husika? mnake nafikiri tufanye jambo tukiwa na mantiki nyuma yake. haina mantiki yyte ile kuirudisha kama tu leaving certificate wapo wasio zifuata sembuse mitihani ilo kwisha fanywa na mtu akavuka hiyo stage?

kama unamalalamiko juu ya usahihishaji wa mtihan wako nenda ka appeal baraaza watauhakiki ka kusahihisha upya.

Mimi ninashauri mitihani urudishwe lkn si kwa gharama za serikali ila iwe open kama mtu akitaka kuona kazi/karatasi yake kwa maana ya kufika baraza basi wafanye hivyo kuwepo tu na partition kuwa hapa ni mkoa flan na ipangwe kufuata mashule
 
kama wanaweza kusafirisha Twiga kwa ndege watashindwa vipi kusafirisha Mitihani kwenye shule hamsini wilayani kwako. Je kuna ulazima gani mitihani yote kusahihishiwa Dar es Salaam.
mkuu unaona kusafiriaha mitihani ni kazi ndogo sanaeee?? mimi wilayi kwetu kuna shule za secondary zaidi ya 50, zingine ziko ndani ya vijiji kabisa leo unasema usafiri sio shida?? ukiambiwa ulipie elf 20 ili mitihani yako irudishwe utatoa?? hata kama jibu ni ndio hiyo ni kwako!!
 
kwani mkuu ukimaliza A-Level hayo masomo utayarudia??
hata kama huyarudii lakini kumbuka hii ni haki ya mwanafunzi kwa sababu yeye ndio aliyejibu kwanini wanafanya siri au kuna uchakachuzi kama wa kwenye KURA? lABDA NITATAKA NIMUONESHE MDOGO WANGU ILI ASIJE AKARUDIA MAKOSA NILIOYAFANYA AU AJIFUNZE YALE MAZURI NILIOFANYA
 
hiki ndicho kinacho sababisha Tanzania kukosa maendeleo kila mtu amelishwa kitu kile kile kwenye sector zile zile. HIVI KWELI HAKUNA MAANA KWA mwanafunzi wa sekondari kurudishiwa mitihani yake? kweli?

Taja nchi ambazo mitihani (scripts) hurudishwa kwa watahiniwa baadae ndo useme Tanzania kukosa maendeleo.....
 
Back
Top Bottom