Miti ya Mbao miaka 8 Inauzwa

belak

Senior Member
Joined
Jul 23, 2016
Posts
179
Reaction score
377
Habari wanajamvi! Kwa wapenzi wa kuwekeza miti iliyobakiza miaka 3 kuvunwa inauzwa kwa bei nzuri mno! Ekari 12 pamoja na shamba inauzwa kwa gharama ya tsh mil; 37 tuu mazungumzo kdg yapo. Shamba lipo ndani ya manispaa ya mji wa mafinga kilomita 9 toka mafinga town centre. kwa muhitaji anicheki nikamuoneshe shamba. whatsaap! no 0628 07 37 28.
 

Attachments

Inafaa kuchomea mkaa,??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…