Kiswahili fasaha ni kipi katika ya methali na mithali? Au ni vitu viwili tofauti? Kwakuwa? kwenye Bible ni Mithali lakini kwenye vitabu vyetu vya elimu dunia ni methali
Kiswahili fasaha ni kipi katika ya methali na mithali? Au ni vitu viwili tofauti? Kwakuwa? kwenye Bible ni Mithali lakini kwenye vitabu vyetu vya elimu dunia ni methali
Hayo maneno methali,mithali na misali yote yana maana moja,Tumia lolote kati ya hayo.Waandishi wa vitabu tofauti tofauti wana uhuru wa kuchagua neno wanalolipenda kati ya hayo kwani yana maana moja.