Mitego ya mtoto wa kitajiri

U cant be seriuos. Unamtamani under 18? Hebu muheshimu huyo mtoto na tunza utu wako ndugu.
 
Baby Candy.... yalikmkuta Dully haya...

Mapenzi yakitoto siwezi...

Mkuu ni Bora usepe maana Mtoto wa Mwanaume mwenzako ni Mtoto tu mtafutie mtoto mwenzie umuambie kuwa unawafundisha wote kisha uwe unawaacha wafanye revision bila ujanja utanasa na wazazi wake hawatakuonea huruma na kikwete alisema wanafunzi wanapata Mimba kwa viherehere vyao ila ukimpa kubwa umekiwisha na kila siku utakuwa unajutia kwanini umefanya vile... hapo ukiwa ndani ya lupango.
 
Last edited by a moderator:
Kuwait na subra kijana mi kangu nmekatunza toka kana miaka 15 sasa HIV kana 20 nadhan ntaua kabisa..ukikagonga mda huu yatakurudia vibaya koz usimwone boya huyo mzee kukuachia ukafundishe
 
papaa jiwe kumbe ni ticha??? me natafuta tution ya kingereza
 
Soap tena!!!!!

miaka 25 si utafute
size yako mtaani uwe unapiga mkuu? Utajitaftia kesi ya bure. Kama
huwezi tafuta katoni ya sabuni unapiga puri kabla hakajaja katakuwa
kanakuta mzuka ushashuka
 
Mkuu hapo kesi ya ajabu unaitafuta pale ukimsikiliza Abdallah kichwa wazi... hanaga ushauri mzuri katika mazingira hayo.... tumia ubongo wa juu ... piga pindi, weka mipaka na mengine mengi ya kutengeneza heshima katika kazi.
 
Miaka 30 jela inanukia##babu Sea
 
mara nyingi kimtaa mtaa unapokabidhiwa kabinti ukapige tuit.Mama na dingi wa kabinti, wamekukabidhi vyote.. Kapulize.Unajua wazazi wanapogundua katoto kao kameanza genyeka uwa wanakua na wakati mgumu sana. So wamekuletea ukapulize.
mmmh!! we data hapana hufai hata kidogo.
 
Mpe onyo mbele ya mzazi. Kwanza waambie aje na nguo za hishima, halafu hamisha darasa peleka kwao. Kama ubao upo ukutani waamuru wauweke kwao pia tena sebuleni.

Badili saa za kutuit uziweke wakati hao wazazi wapo macho pia, ukiomba kuwa nawe unahitaji saa za mapumziko. Koma tena ukomae kabisa, kuchungulia kalivyo nona kwani kiti moto hicho?? Under 18 hata lingekuwa kubwa kuliko mamake ni dhambi tu na sirikali haikusamehi. Usipeleke hata kidole kugusa hicho chumba cha siri. Usikubali hata kukachungulia kakienda kuchojoo.

Acha ujinga kijana, rika lako mbona wamejaa? Tena tafuta hata wa kulipa awe akija kukaa na weye na kuonesha mna mapenzi saana. Katashika adabu na kukukinai. Usipime sumu ya panya kwa ulimi
 
Dalili za wewe kwenda kua mke wa mtu segerea naziona zimekaribia kabisaaa..!
 
mbona story yako haina ukweli, jipange tena, mtoto wa kishua unamfundisha saa 3 mpaka saa 6 usiku kwako? mhh sidhani kama watoto wa kishua wanafanya hivyo wengi unawafuata kwao,na uwa hawasomi muda mrefu hivyo, pili miaka 14? darasa la ngapi? du story zingine ngumu.
 
Eti Puri! Teh
miaka 25 si utafute size yako mtaani uwe unapiga mkuu? Utajitaftia kesi ya bure. Kama huwezi tafuta katoni ya sabuni unapiga puri kabla hakajaja katakuwa kanakuta mzuka ushashuka
 
Kukariri ni hatari kwa afya yako mkuu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…