Kuna kitu kama sisi wanadamu mfano mtu akikusema jambo ambalo ujafanya basi uwezi kushikwa na jaziba wala kuita watu kusema yale sio sahii ila utakaa mkimya.
Ila kila kukicha mitandao ya kijamii ikiwa na watumiaji wananchi wanaposema lolote tu!. cha kushangazwa baada ya saa au siku utaona viongozi wakubwa wakija kufafanua .
mfano ili la treni tu ndio limenifungia jibu