Mitandao ya kijamii imekuwa mwiba kwa serikali kwa kujiteta kwa wananchi

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,709
Kuna kitu kama sisi wanadamu mfano mtu akikusema jambo ambalo hujafanya basi huwezi kushikwa na jaziba wala kuita watu kusema yale siyo sahii ila utakaa mkimya.

Ila kila kukicha mitandao ya kijamii ikiwa na watumiaji wananchi wanaposema lolote tu! Cha kushangazwa baada ya saa au siku utaona viongozi wakubwa wakija kufafanua.

Mfano ili la treni tu ndiyo limenifungia jibu.
 
Kuna kitu kama sisi wanadamu mfano mtu akikusema jambo ambalo ujafanya basi uwezi kushikwa na jaziba wala kuita watu kusema yale sio sahii ila utakaa mkimya.

Ila kila kukicha mitandao ya kijamii ikiwa na watumiaji wananchi wanaposema lolote tu!. cha kushangazwa baada ya saa au siku utaona viongozi wakubwa wakija kufafanua .

mfano ili la treni tu ndio limenifungia jibu
Kwa sababu hilo la Treni limejaa uzushi tofauti na uhalisia.

Woote waliondika hakuna aliyewahi kuingia kwenye hayo mabehewa zaidi ya kutumia Picha Moja tu iliyoko Mtandaoni.

Isipokuwa Waziri #Mbarawa aliongea baada ya kujiridhisha kwa kitembelea Site.
 
Kuna kitu kama sisi wanadamu mfano mtu akikusema jambo ambalo ujafanya basi uwezi kushikwa na jaziba wala kuita watu kusema yale sio sahii ila utakaa mkimya.

Ila kila kukicha mitandao ya kijamii ikiwa na watumiaji wananchi wanaposema lolote tu!. cha kushangazwa baada ya saa au siku utaona viongozi wakubwa wakija kufafanua .

mfano ili la treni tu ndio limenifungia jibu
Ndio unavyo waza? Njia pekeee ni raia kuandamana kitu ambacho kwa Tanzania hakiwezi tokea make raia ni mazezeta, hii ya mitandao ya kijamii haiwatishi
 
Kwasababu hii serikali wanaona 1GB iuzwe hata 5k.
Ukilala ukiamka vifurushi vimebadilika. Nchi za kimasikini kama Tanzania hazipendi kusemwa.
 
'
20221205_205705.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom