Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
- Thread starter
-
- #21
wanamchafua au wanasema ukweli?
kama kweli wote tulipitia posts baada ya tukio matokeo ya mwanaasha tunakubaliana kwamba mjadala ulihama kutoka kwa mtoto kwenda kwa baba.
Kwa hiyo mnataka TUMSIFU RAIS WETU...............MILELE DAIMA?
sioni mantiki ya kuhusisha suala hili na Jk.
Kufeli kwa mtoto wake kuna uhusiano gani na urais wake? na je wewe kwenu hakuna waliowahi kufeli mitihani na pengine ukiwemo wewe, je nani alimsema Baba yako?
Kwa hiyo mnataka TUMSIFU RAIS WETU...............MILELE DAIMA?
Tanzania Daima kwa mara ya kwanza nawapongeza kuliona hili. Mitandao inatumika vibaya ingawa sio wakati wote.
masaburi.Ni kazi ya chama cha maandamano. Jk ni adui yao namba 1.
hakuna anayekulazimisha umusifu, tunachozungumzia hapa ni kwa nini atukanwe hata kwa mambo yasiyo na tija kwa taifa na hayahusiani? Kasome tanzania daima la leo unaweza kupata mantiki ya hii thread!
Kikwete ni public figure. Definition ya "public figure" kwenye answer.com ni
"A famous person whose life and behavior are the
focus of intense public interest and scrutiny."
Hawezi kukwepa haya especially kwenye kipindi hiki cha utandawazi
Kikwete ni public figure. Definition ya "public figure" kwenye answer.com ni
"A famous person whose life and behavior are the
focus of intense public interest and scrutiny."
Hawezi kukwepa haya especially kwenye kipindi hiki cha utandawazi
Rais anahusika vipi na matokeo ya mtoto wake? uzumbukuku huu.
masaburi.