Namshangaa sana hajuiHizo dhambi zilikuwepo zinatendwa toka enzi na enzi tena kuzidi hata Leo.
Kutenda dhambi nako ni ishara uko vizuri na unaishi.
Sasa wewe hauzini, haudanganyi, haunywi pombe, hautamani , hauvuti bhangi n.k
Sasa uko duniani hapa unafanya nini?
Tupo pamoja
Sasa kwanini unaangalia haya uliyotaja mitandaoni? Kama unaona kero, basi nenda kaishi nchi zenye amani kama Somalia, Afghanistan, Pakistan, Yemen, Syria, Saudi Arabia, LibyaPamoja na manufaa mengine zifuatazo ni dhambi zilizohalalishwa na mitandao na zinafanywa bila hofu ya Mungu.
1. Uongo. Kupitia simu na mitandao kusema uongo imekua ni kawaida. Watu wanazusha habari za uongo na kusingizia vifo au kushikwa ugoni ilimradi kujipatia umaarufu.
2. Kuzini. Tunawatamani wanawake wengi kwa kupitia picha na video chafu za zilizotapakaa mitandaoni lakini Mathayo 5:27 inasema:-
“Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’ Lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake.
Je Mara ngapi ndugu yangu umemtamani mwanamke kupitia picha na video chafu zinazopostiwa mitandaoni au kupitia matangazo yanayojitokeza kwenye simu yako ya Smart?
3.Kuchukuiana. Ni dhahiri imekua rahisi mno watu kueneza chuki baina ya mtu na mtu au kikundi. Mtu akipost harusi yake au kununua gari jipya,comment ni chuki tupu!
4.Wizi na utapeli. Watu wana iba na kufanya utapeli wa pesa,bando,kirahisi tu wakidhani ni mzaha.
5.Kutukana.Kutokana na ID fake ni rahisi mtu kutukana kwa sababu hajulikani. Unaweza muona mtu wa heshima kumbe anashinda mitandaoni akitukana watu ovyo!
6.Michezo ya kamali. Huko nyuma ilikua ni vigumu kukuta mtu mwenye heshima na hofu na Mungu akicheza michezo ya kamali.Hii ilikuwa michezo ya walevi na wavuta bangi. Lakini kupitia simu shetani kawakamata wengi. Si ajabu Shekhe au mchungaji kukuta wanashiriki kucheza kamali kwa kujua au kutokua.
Kwa upande wako ni dhambi ipi imekukamata kupitia mitandao kwa kujua au kutokujua?
Nawasilisha.
Nikikupa majibu magumu utashindwa kupata picha halisi ya maisha na ndiyo maana natumia lugha nyepesi ili ueleweAcha kutoa majibu mepesi kwenye hoja muhimu
Moja ya nyuzi bora sana JFPamoja na manufaa yake zifuatazo ni dhambi zilizohalalishwa na mitandao na zinafanywa bila hofu ya Mungu.
1. Uongo. Kupitia simu na mitandao kusema uongo imekua ni kawaida. Watu wanazusha habari za uongo na kusingizia vifo au kushikwa ugoni ilimradi kujipatia umaarufu.
2. Kuzini. Tunawatamani wanawake wengi kwa kupitia picha na video chafu za zilizotapakaa mitandaoni lakini Mathayo 5:27 inasema:-
“Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’ Lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake.
Je Mara ngapi ndugu yangu umemtamani mwanamke kupitia picha na video chafu zinazopostiwa mitandaoni au kupitia matangazo yanayojitokeza kwenye simu yako ya Smart?
3.Kuchukuiana. Ni dhahiri imekua rahisi mno watu kueneza chuki baina ya mtu na mtu au kikundi. Mtu akipost harusi yake au kununua gari jipya,comment ni chuki tupu!
4.Wizi na utapeli. Watu wana iba na kufanya utapeli wa pesa,bando,kirahisi tu wakidhani ni mzaha.
5.Kutukana.Kutokana na ID fake ni rahisi mtu kutukana kwa sababu hajulikani. Unaweza muona mtu wa heshima kumbe anashinda mitandaoni akitukana watu ovyo!
6.Michezo ya kamari. Huko nyuma ilikua ni vigumu kukuta mtu mwenye heshima na hofu na Mungu akicheza michezo ya kamali.Hii ilikuwa michezo ya walevi na wavuta bangi. Lakini kupitia simu shetani kawakamata wengi. Si ajabu Shekhe au mchungaji kukuta wanashiriki kucheza kamali kwa kujua au kutokua.
Kwa upande wako ni dhambi ipi imekukamata kupitia mitandao kwa kujua au kutokujua?
Nawasilisha.
Sijasema kila kitu cha mtandaoni ni kibaya ila km ambavyo mambo mazuri yalivyorahisishwa ndio vivyo hivyo maovu yamerahisishwa zaidi. Zamani ili mtu ampate kahaba ilimlazimu kwenda kwenye maeneo wanayojiiza.Lakini kupitia mitandao kahaba anapatikana Instagram,Facebook n.k kirahisi kabisa.Ndugu mleta mada. Naomba utambue kuwa yote uliyoandika yamekuwepo hata bila uwepo wa motandao. Mengi yalikuwepo hata bila teknolojia ya mawasiliano kugunduliwa.
Dunia imekuwa uwanja wa vurugu ambazo tunaambiwa na maandiko ya zamani kuwa zilisababishwa na uongo wa ibilisi. Enzi hizo hatukuwa na mitandao.
Teknolojia imerahisisha kila kitu. Imerahisisha mambo mengi mema na mabaya pia. Mfano, kupitia teknolojia, unaweza kuhudhuria ibada ya misa, kujipatia ufahamu na ujuzi, kufundisha, kufanya biashara, kuwekeza, kupata burudani nk.
Teknolojia imerahisisha pia mambo tunayoyatia maovu kwa mtazamo wetu, mfano, mahusiano ya ngono (uzinzi), biashara ya ngono, kutoa na kusambaza mawazo mbadala, kucheza kamari (betting), ushirikina, nk.
Teknolojia imerahisisha mambo mabaya per see mfano kusafirisha madawa ya kulevya, wizi na utapeli, kusambaza picha na video za ngono (pornography), udhalilishaji wa wanawake kwenye mitandao, udhalilishaji kwenye mitandao, nk.
Mwisho, tukubali kuwa hakuna ugunduzi wa binadamu unaoweza kuwa na mazuri pekee bila mabaya. Tusisingizie mitandao, bali tuziangalie tabia za binadamu hata bila mitandao na teknolojia nyingine.