Pumbavuuuuuu 🤧🤧🤧🤧Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.
Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.
Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.
Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.
Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Hatari sanaMpaka mtu anaomba kusuguliwa !!
Kwa mafisadi na wizi kama wewe lazima waseme hivyo kwa kuwa wananyooshwa kweli kweli awamu hii.Nani atachagua jitu katili, baguzi, mfumo dume, sura mbaya, nyanyasaji, bambikaji kesi n.k?
RubbishKabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.
Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.
Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.
Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.
Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Hata anayekufa hua hatarajii kufa kwa sababu hajui kufa kukoje. Mngekuwa na hekima mngeanza kujitayarisha na msiba.Kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi Tanzania, Comrade Bashiru Ali a.k.a Mchuuzi wa ndizi aliwaonya wapinzani wao kwamba tayari alikuwa katika harakati za kisayansi ya siasa za kusimika MITAMBO ya ushindi wa kishindo. Inaonekana wapinzani wa ccm hawakumuelewa, sasa kwa kilichotokea Tunduma, Songwe na Mbeya wanapaswa kujua na kujitambua kwamba sasa MITAMBO inaanza kulipuka na kutakuwa na casualties wengi sana kisiasa.
Chadema centre zenu za huko Mbeya na songwe hasa kambi yenu kuu pale Tunduma tayari hali ni dhooofu, Tunduma inaelekea kuwa ya kijanI KIBICHI KABISA na hilo liko wazi . Comrade Simba (SILINDE) jana alipewa assignment ya kumalizia masalia.
Camrade Bashiru jana alikuwa centre ya mashariki akiangalia kitufe cha mtambo kama kimekaa sawa, siku mbili zijazo button nyingine itaponyezwa na mshindo mkuu Zaidi ya Tunduma unategemewa kusikika.
Sasa ni dhahiri kuwa mitambo ya ushindi sasa iko mkao wa kulipuka na madhara yake ni kwa Comrade, ndugu, John Pombe Joseph Magufuli(Ng’wanasusana) kuibuka na ushindi mnono wa 90-95%.
Maendeleo hayana chama ewe mwanachi hapo tarehe 28/10, piga kura yako kwa ndugu, John Pombe Joseph Magufuli
Kwa kurazimisha sawa, huru na haki CCM haina lake.Vice versa is true...Get ready to witness the victory of CCM in 28.10.2020
Huyu nduli aliyepinda bichwa ka korosho hovyo sana na bure kabisa eti anatufokea, Wana Tunduma ni watu wanaojitambua . Diamond alipomalza kuimba tu watu wakawa wanasepa jamaa siyo kufura na kuanza kufoka mi nikajisemea usitufokee.Hivi ndiko mzee faza alikotishia watu kutowaletea maji?
Wewe ushapiga kura marangapi? Usione hii hali iliyopo twitter ukazani mtaani ipo.Imelipuka kweli, CCM Tarajieni majeruhi wengi baada ya kulipuka mitambo yenu.
Majeruhu wa kwanza ni Magufuli kwa kupata kichapo cha Mwaka ,Historia itashuhudia .
Duu ulijuaje? Niliona katika video nikakihurumia sana chama changu. Watu waliondoka bila woga.Karibuni ZNZ kesho mushuhudie Moshi kama ule wa kule Kusini,
Lazima Jiwe apliwe kwa moshi wa Unguja wenye Harufu ya Popobawa.
Huyu Tunaye hadi Mwisho wake 28 October 2020 ili akapumzike kwa amani Chato (Rest in Peace and harmony).
Na mtalii arudi Mkulanga.
MnaziMmoja Njooni muone Muziki na wasanii Kisha Muone Moshi wa ZNZ.