N ngonani JF-Expert Member Aug 27, 2012 1,366 596 Dec 2, 2012 #1 Kuanzia jana ukipiga zain,inaita voda nyingine,ukipiga voda mara unashitukia imeita zain ya mtu tofauti,tatizo ili ni tangu jana.
Kuanzia jana ukipiga zain,inaita voda nyingine,ukipiga voda mara unashitukia imeita zain ya mtu tofauti,tatizo ili ni tangu jana.
Nyanidume JF-Expert Member Oct 24, 2012 2,364 1,023 Dec 2, 2012 #2 kwangu mimi hakuna tatizo kama hilo, labda tuwasubiri wadau wengine nao waje watujuze!
harakat JF-Expert Member Jul 4, 2011 2,888 1,347 Dec 2, 2012 #3 cm za kichina na matatizo yake hizi ni shida