Voice of Mara
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 358
- 127
Chadema operation#Toroka Uje kanda ya ziwa chini Mhe Vincent Nyerere Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mara napia mgombea ubunge Musoma mjini!amendelea kuifuta Ccm kanda ya ziwa nzima jioni hii mkutano wake wa mwisho amefanya jimbo la Misungwi Mkoa wa Mwanza#Tukutane October 25✌✌✌###Mabadiliko Lowassa✌###NyerereTena2015 Musoma mjini kwa muendelezo wa maendeleo✌✌✌✌mwaka huu mpaka Ccm waombe poo!!!Tazama picha za mkutano jioni ya Leo!